Natafuta mume

Nina 42 siwezi kupata upendeleo maalum
 
Si tutahudhuria wote Kigori wangu kwenye harusi ya Irene? 😉Nitatokelezea na ile suti yangu na ww utavaa lile gauni lako ninalolipendaga huwa linakupendeza sana.
 
Kama katangulia mbele ya haki ,yeye hapaswi kuwa na mwenza mwingine?
Hapo sasa inategemeana na viapo vya ndoa yao pamoja na dini, kama ilitoa idhini hiyo basi ni faida kwake.
 
Si tutahudhuria wote Kigori wangu kwenye harusi ya Irene? [emoji6]Nitatokelezea na ile suti yangu na ww utavaa lile gauni lako ninalolipendaga huwa linakupendeza sana.
Sawa handsome!
Tumuombee Mungu apate Mume bora!
 
Mi nina kazi zangu za kujikimu kila siku. Natafuta mke, ila sifa yako ya miaka mi nko nje sijafika 28... Unanifikiriaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…