Rashford Lingard
JF-Expert Member
- Feb 9, 2018
- 938
- 1,150
Mcha Mungu ushadunguliwa kimoja huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heeee!
Aiseeeunakwama wapi Irene yaani mtaani, ibadani kote huko kwenye mizunguko yako umekosa. Pole sana ukipata msinisahau kadi. napenda sana wali wa kwenye shughuli.
Unaogopa mwamba atakuja kuchukua chombo chake ukikipendezesha upya eeeeeehBaba wa huyo mtoto alishakufa na uthibisho wa kabuli upo...??
Unamaanisha mcha Mungu hawez kuwa na mtoto?Miaka 25 ....... Mcha Mungu..........Mtoto mmoja..........
...................????????????
Huyo Anamaanisha mcha mungu akiwa na mtoto lazima awe na mumeUnamaanisha mcha Mungu hawez kuwa na mtoto?
Nina 42 siwezi kupata upendeleo maalumHabari za muda huu wapendwa! Niende moja kwa moja kwenye dhumuni langu, nipo hapa kutafuta mume yaani mwanaume ambaye tutaanza nae urafiki kisha mahusiano Mungu akijalia tuwe mume na mke
SIFA ZANGU
maji ya kunde
Sio mnene yani mwembamba kiasi
Miaka 25
Nina mtoto mmoja
Mjasiriamali
Mcha Mungu
Mkristo
SIFA ZA NINAE MTAKA
Awe mkristo
Muajiriwa ama kajiajiri
Mcha Mungu
Miaka 28 mpka 40
Asiwe mnene sanaaa
Mengine zaidi tutajulishana PM
Karibuni
ASAP
Duu unataka kukagua mpaka kaburi mkuu!Baba wa huyo mtoto alishakufa na uthibisho wa kabuli upo...??
Kama katangulia mbele ya haki ,yeye hapaswi kuwa na mwenza mwingine?Huyo Anamaanisha mcha mungu akiwa na mtoto lazima awe na mume
Wa ubavu wakeWakufanana nae unamaanisha aje mzazi mwenzie?
Si tutahudhuria wote Kigori wangu kwenye harusi ya Irene? 😉Nitatokelezea na ile suti yangu na ww utavaa lile gauni lako ninalolipendaga huwa linakupendeza sana.Aiseee
Hapo sasa inategemeana na viapo vya ndoa yao pamoja na dini, kama ilitoa idhini hiyo basi ni faida kwake.Kama katangulia mbele ya haki ,yeye hapaswi kuwa na mwenza mwingine?
Sawa handsome!Si tutahudhuria wote Kigori wangu kwenye harusi ya Irene? [emoji6]Nitatokelezea na ile suti yangu na ww utavaa lile gauni lako ninalolipendaga huwa linakupendeza sana.
DUME HILI WAKUUView attachment 1229280View attachment 1229281