Natafuta mume

Natafuta mume

Mungu akufanyie wepesi upate maana upweke unaleta msongo wa mawazo.
 
Habari

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Ni mkristo, naishi Dar.

Natafuta mume wa kunioa.

Kwa aliye serious karibu PM.
Tuthibitishie kwanza hii ndoa iliishia wapi


Huwezi kuwa na wanaume wawili dada
 
Tuthibitishie kwanza hii ndoa iliishia wapi


Huwezi kuwa na wanaume wawili dada
Semaaaa kimeumanaaa.
 
Tuthibitishie kwanza hii ndoa iliishia wapi


Huwezi kuwa na wanaume wawili dada
Kumekuchaaaaaa,
Ndio maana wengi wajao Love Connect huja na New ID kwa mambo kama haya,
[emoji2812]
 
Hiv kuna uhaba wa wanaume ee asilimia kubwa natafta mme natoka dar
 
Habari

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Ni mkristo, naishi Dar.

Natafuta mume wa kunioa.

Kwa aliye serious karibu PM.
Waislam ngoja tupite pembeni au unaweza silimu!
 
Tuliachana tangu mwaka 2018 mwanzoni,so ni muda mrefu sana umepita takribani miaka mitatu( 3) imepita
Pia sijawahi kufunga ndoa yoyote,huyu tuliechana miaka mitatu iliyopita ilikua sogea tuishi
 
Habari

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Ni mkristo, naishi Dar.

Natafuta mume wa kunioa.

Kwa aliye serious karibu PM.
Samahani sihitaji mume wa mtu yaani mtu mwenye ndoa yake,pia sihitaji muislamu
 
Mama umepata niko hapa naomba unipm tafadhali kama hutojali tafadhali tutaongea na tutamaliza tatizo na tutakuja kuwapa mrejesho
 
Back
Top Bottom