Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Kesho kitu kinatoka ww niache nipambanie penzi langu jipya huku usitake kuniharibia ushindwe kbsa π π π πNenda kashibe bagia kwanzaa kuleee acha wengeee ukute hujala toka asubuhi hapo ndiokwanzaaa 22
Kashibe bagia uwe na nguvu weww acha wengeee!!Kesho kitu kinatoka ww niache nipambanie penzi langu jipya huku usitake kuniharibia ushindwe kbsa π π π π
Ah sweetcandy mwenyewe kauchuna sasa siji hataki ku-lick the lolipopπ€£π€£π€£π€£Nlitaka nikutag sasahivi hapa musee
Ah sweetcandy mwenyewe kauchuna sasa siji hataki ku-lick the lolipop[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baby mama sasa nasaka baby mama tuuUnataka awe baby mama kama tangazo lako ulilotoa au ni mbususu tu[emoji38][emoji38]
Haya Mungu akusimamie mkuu ikawe kheriBaby mama sasa nasaka baby mama tuu
Wacha tuone maana mpaka sasa pm inaning'ong'a tuu ...ng'oooooooπ€£π€£π€£π€£π€£Haya Mungu akusimamie mkuu ikawe kheri
Na wale wake zako watatuπππWacha tuone maana mpaka sasa pm inaning'ong'a tuu ...ng'oooooooπ€£π€£π€£π€£π€£
Hwataki kuzaaNa wale wake zako watatuπππ
Huwezi pata mtu serious humu mpnz
Akipatikana uta demand mahari au wewe ndiye utakwenda kulipa kwao?Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.
Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu
Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.
Siku njema
Sawamkuu ulipata hitaji lako, kama bado njoo tuyajenge nami nahitaji
You [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Upo wapi sweetycandy? I would like to take u to the candy shop, make u lick that lolipop[emoji12]
Watu wapo bhana na ni very very serious lakn wachache 2 kama Hawa kina mzabzabHuwezi pata mtu serious humu mpnz