Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
39-42umri wako wa umtakae???
Ninampongeza aliyeshinda hili shindanoWasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.
Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu
Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.
Siku njema
Jamni wewe39-42
Nini??Jamni wewe
SijampataNinampongeza aliyeshinda hili shindano
Acha utani basi?Sijampata
Unatafuta mme mkristo wakati unajitambulisha kwa lugha za "wajomba"[emoji28][emoji28][emoji16]Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.
Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu
Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.
Siku njema
Unatafuta mme mkristo wakati unajitambulisha kwa lugha za "wajomba"[emoji28][emoji28][emoji16]
SweetCandy aka Fetty, ulimpata!?Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.
Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu
Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.
Siku njema
Heeee mpaka Leo bado?Sijampata
Mshafunga ndoa?Watu wapo bhana na ni very very serious lakn wachache 2 kama Hawa kina mzabzab
mimi mbeba tofari nafanyq kaz za nguvu kwa ngvu je utanipenda?Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.
Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu
Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.
Siku njema
Asante sana ndgu kwa kujali sana. Nimeshamuandikia wacha tuone kama atakubaliana na hali halisi maana mimi hela sina ila nina upendo wa kweli sana na kulala njaa hatolala kabisa namuahidiFetty unaonekana mzuri.
Ila ngoja kwanza tuwashtue wenye uhitaji
Mzee wa Njunju njoo huku Dada Fetty anataka Mume
Kila la Kheriathante sana ndgu kwa kujari sn.nimeshamuandikiq wqchq tuone kqmq atakubariana nq hali harisi maana mimi era sina ira nina upendo wa kwel sana na kulala njaa hatolala kbs namuahidi