Natafuta mume

Natafuta mume

Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.

Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu

Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.

Siku njema
Ninampongeza aliyeshinda hili shindano
 
Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.

Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu

Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.

Siku njema
Unatafuta mme mkristo wakati unajitambulisha kwa lugha za "wajomba"[emoji28][emoji28][emoji16]
 
Unatafuta mme mkristo wakati unajitambulisha kwa lugha za "wajomba"[emoji28][emoji28][emoji16]
 
Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.

Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu

Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.

Siku njema
SweetCandy aka Fetty, ulimpata!?
 
Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.

Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu

Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.

Siku njema
mimi mbeba tofari nafanyq kaz za nguvu kwa ngvu je utanipenda?
 
Fetty unaonekana mzuri.

Ila ngoja kwanza tuwashtue wenye uhitaji
Mzee wa Njunju njoo huku Dada Fetty anataka Mume
Asante sana ndgu kwa kujali sana. Nimeshamuandikia wacha tuone kama atakubaliana na hali halisi maana mimi hela sina ila nina upendo wa kweli sana na kulala njaa hatolala kabisa namuahidi
 
Back
Top Bottom