kwani utamwita kwa id au jina lakeID yako ya zamani pls.
Kumbe wewe ndio mleta mada Eeeh!kwani utamwita kwa id au jina lake
mbona humu watu wengi ni wa hovyo
Bwege sana wewe🤣🤣🤣🤣🤣ID yako ya zamani pls.
Vijana wa HOVYO wa humu wanasema ni jambo la kawaida kwa single mother kuonesha alipolala baba wa mtoto ili kujihakikishia usalama wa mahusiano.Mi ni mwanamke wa miaka 36, nina mtoto mmoja, natafuta mume mwenye miaka 38- 45 akiwa na watoto sawa, awe tayari kumkubali mwanangu na awe baba kwake nami nitakuwa mama kwa watoto wake.
Sichagui dini, ila awe 'serious' kuishi kwa upendo, siyo kujaribu awe muwajibikaji. Sichagui anafanya kazi wapi, kikubwa anaweza kutunza familia tu.
Ha ha haKumbe wewe ndio mleta mada Eeeh!