Kumbe ulikuwa unataka tajiri? 🙄 nimejitosa pm kukupa jiran yangu job less kumbe kujisumbuaNimempata tayari anaitwa gaganiga yete ni tajiri kuwazidi nyie! Nafunga pm
Sisi wengine hatupati si ndioWewe utapata
😄😄😄 Huyu nakuachia mzee, maana mie na wewe dugu moyaaaNational Anthem finaly tumefikiwa....mrembo anataka ata jobless cha msinginde libolo linafanya kazi
Kazi unayoNimempata wakuu hitaji langu la moyo Mr gaganiga. Yeye ansoneka ana hela kwa sababu ameniambia ana kampuni kibao huko London na marekani
Weeeeee usiniambieNimempata tayari anaitwa gaganiga yete ni tajiri kuwazidi nyie! Nafunga pm
Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialize kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
HeeeeWanaume heeee heee
Kwamba Genter mwenyewe katuzunguka ,Jana tu katoka kulalamika.Wewe umewaza Kama mimi[emoji23][emoji23][emoji23]...mwandiko huo una bomu la himars
Kwendeni kuko mmekuja kutupanga kama mazuzu😂😂😂😂Nimempata wakuu hitaji langu la moyo Mr gaganiga. Yeye ansoneka ana hela kwa sababu ameniambia ana kampuni kibao huko London na marekani
Hili ni dume mkuu tena gaganiga1993 + 7 = 98 daresa la kwanza +7 darasa la saba 2005
4 form 4 2009 form six 2012 jkt 2013 itakua Op kikwete + 5 Muhas = 2018 2020 intern up 2o21 now ni 2022 je hiyo masters umeipataje ?????....maelezo kidogò
Kaweke tangazo lako dogo 😂😂Mimi pia nahitaji mke,tena nipo serious kabisa niende naye kanisani.Ila si jobless, nina kazi yangu na kipato changu na maisha yanaenda.
Tapeli huyo ingia kichwa kichwa upigweAisee fursa ya kwenda marekani imejitokeza hapa
Hapa anaamisha makanisa na sio mwanamke as human being.Kulingana na Isaya 4:1 itafika wakati wanawake watatoa mahari wao.
Na wivu utawaishia kabisa.
View attachment 2428652