Natafuta mume

Mahaba ya sgr yako hapa.......Zama pm mwandishi ......Nina Siri kubwa kwenye mahaba hata sijui ziko telabyt ngapi
 
Npo hapa njoo inbox kwa maelezo mazur
 
Pale alipoanza na wakuu tayari jinsia husika hapa sio ke ni me, kuweni makini
 

Nyieee nishajipatia mke mie [emoji23][emoji23]
 
Kuna miaka ya zamani kuna mdada alitoa tangazo km hili, akatokae mkaka akazingua kufika kwenye appointment pale kwenye mgahawa opposite na British.... Baadae kaka akajuta kujua yule bibie ni rubani. Sasa huyu amejitaja kbs jobless mnahitajika kikubwa nguvu mnambwelambwela.
 
Hawajiamini πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Unataka kucheza na akili za watu eti una masters na unaishi marekani Tena unaongezea umezaliwa Kilimanjaro kwamba wewe ni mchaga kupima watu akili ,basi tambua hao wachaga wanaolewa wala hamna shida kama nadharia za watu wanavyodai
 
Alivyoandika "hapo hapo Hill..." nikajua hamna kitu

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
hehehe wanaume ni dhaifu sana mbele ya mtoto wa kike, ndo maana hata wauza madawa majambazi wakubwa hukamatwa kwa njia ya kijasusi ya kutumia mitego ya wanawake. ila sasa kuna na hawa wanaume wanataka dolla 20 20 za wanaume wenzake pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…