Jaribu bahati yakoBwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwandiko wa kiume kabisa huu. atapigwa mtu humu muda si mrefu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu jomoneeee lol.Wanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteremko.
Huu uzi ni wa mdada kweli?
Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?
Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
Humu sio sehemu ya kufanyia tafiti zakoBwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Muongo huyo, yupo kwenye tafiti zakeWanaume heeee heee
Halafu ujue me si dogo hahahaaaaa, ni lizee flani hivi.Kaweke tangazo lako dogo [emoji23][emoji23]
Ndo mana ametanguliza kusema yeye ni daktari wa watoto. Nilitaka nimshauri atafute mgonjwa aliyetelekezwa na ndugu hospitali au asiye na ndugu, amtibu kisha ayajenge naye na kumchukua home.mwandiko wa kiume kabisa huu. atapigwa mtu humu muda si mrefu
Mimi pia nahitaji mke,tena nipo serious kabisa niende naye kanisani.Ila si jobless, nina kazi yangu na kipato changu na maisha yanaenda.
Changamkia fursa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mbengo zimefongokaaaaaa
Zimeacheaaaaaa acheeea oooh Ahsandeeeeeeee[emoji2][emoji2][emoji2]
aiseeeeeIla kwenye Mct Dr haupo au kwa kua upo amerika?
Mume nimekuja lakini PM imefungwa, sijui nimechelewa kupata huyu mkeeeeBwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Nipm upate mumeBwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm