Natafuta mume

Natafuta mume

Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Jaribu bahati yako

 
Miss mia last seen today 6:47 A.M

Lumumbashi last seen, today 6:48 A.M


Gaganiga last seen, today 8:43 A.M

Kwa sasa anaandaa vyombo vya kahawa ili arudi kuwacheka wale waliomchombeza PM.
 
Wanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteremko.

Huu uzi ni wa mdada kweli?

Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?

Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu jomoneeee lol.
 
Mimi mwenyewe nimechoka kukaa pekee yangu. Ila sio jobless nimekukosa
 
Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Humu sio sehemu ya kufanyia tafiti zako
 
Kuna kigezo kidogo umekosa hapo, me nataka wa Korea
 
mwandiko wa kiume kabisa huu. atapigwa mtu humu muda si mrefu
Ndo mana ametanguliza kusema yeye ni daktari wa watoto. Nilitaka nimshauri atafute mgonjwa aliyetelekezwa na ndugu hospitali au asiye na ndugu, amtibu kisha ayajenge naye na kumchukua home.
 
Mimi pia nahitaji mke,tena nipo serious kabisa niende naye kanisani.Ila si jobless, nina kazi yangu na kipato changu na maisha yanaenda.

Nichukue mimi mkuu, i am ex Muhas ila sihitaji jobless
 
Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Mume nimekuja lakini PM imefungwa, sijui nimechelewa kupata huyu mkeeee
 
Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Nipm upate mume
 
Back
Top Bottom