Natafuta mume

Kweli wajinga hii Nchi ni wengi., "awe na mtaji wa kuanzia milion mia" kwani unaolewa na mtaji au unaolewa na mwanaume. Wew hata akija kapuku kama anajielewa olewa naye tu mengine Mungu ataajilia.
 
Wakuachee mwayaa, wee tafuta hitaji lakoo, inshaallah utapataa.
Kila LA kheri mwayaa, JF izoeee ndo iko hivi kila siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uduguu sikuweziiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…