Natafuta mume


utawamaliza na huku umekuja
 
Mdada kachoka maisa ya kuitana dia nauku hata kwao hufahamiki....endelea kusearch dada watapatikana ila kuwa makini.......
 

Mkuu mimi nimegundua kwamba wanaume wengi wa humu wana wivu sana, hasa pale wanapoona hawakidhi vigezo tajwa!
 
Dada waweza kupost photo yako mimi nipo mkoa wa geita na niko tayari kuwa nawewe kama vp tu communicate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…