Natafuta mumeo wa kunioa

Natafuta mumeo wa kunioa

Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Njoo pm
 
Babu enzi zenu wanawake walikua wanapitisha matangazo ya kutafuta mume?
Maisha yamebadilika sana mjukuu wangu. Enzi zetu sisi tulikuwa tunaviziana kisimani wakati wa kwenda kuchota maji, barabarani tukitumwa kwenda kununua mahitaji, nk. Hakukuwepo na matangazo ya aina hii!

Na hata kipindi hicho hizi tabia za ushoga zilikuwa hazijulikani kama zipo. Ila siku hizi mambo ni hadharani. Imagine mtu anaandika eti "natafuta mumeo wa kunioa" na wakati anatambua fika ni jinsia ya kiume, na hatokei Kenya!!
 
Maisha yamebadilika sana mjukuu wangu. Enzi zetu sisi tulikuwa tunaviziana kisimani wakati wa kwenda kuchota maji, barabarani tukitumwa kwenda kununua mahitaji, nk. Hakukuwepo na matangazo ya aina hii!

Na hata kipindi hicho hizi tabia za ushoga zilikuwa hazijulikani kama zipo. Ila siku hizi mambo ni hadharani. Imagine mtu anaandika eti "natafuta mumeo wa kunioa" na wakati anatambua fika ni jinsia ya kiume, na hatokei Kenya!!

Babu! Ona hawa vidume.
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
' Natafuta mumeo wa kunioa" .Uwe muangalifu na waume za watu binti kwa nini usitafute mume wako na siyo mmewe?
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Kwa sasa unaishi kenya au uko Bongo
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
is still available I'm seriuos
 
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife

Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious

Kama Kuna yoyote anaitaji mahusiano yakudumu mpaka ndoa naomba uje PM tafadhali tuyajenge
Mimi hela sina tena sina kabisa vp nije PM au niwe ndugu mtazamaji.
 
Back
Top Bottom