Ofsa Kidali
JF-Expert Member
- Oct 24, 2021
- 212
- 119
Habari za muda huu wana JF, hongereni kwa mapambano ya kila siku kuifanya dunia kuwa bora na salama.
Mimi ni kijana wa kitanzania mkazi wa Dar es Salaam elimu yangu ni kidato cha sita. Awali kabisa napenda ieleweke kwamba dhumuni ni kukuza na kuiboresha biashara (sitasema biashara yenyewe hapa kwa sababu za kimaslahi) kwa maana kwamba biashara tayari ipo(Gongo la mboto, Dar es Salaam). Kiasi kinachotakiwa hapa ni Tsh.3,500,000/=(Milioni tatu na nusu).
Kinachokwenda kufanyika ni kuizalisha pesa yako kufikia mara mbili ya kiasi unachowekeza katika kipindi ambacho kitakuwa ni cha ahueni kwa pande zote mbili (biashara na muwekezaji) na kipindi chenyewe kitaamuliwa baada ya mazungumzo kati yetu. Tafadhali jongea PM kwa maelezo na mazungumzo zaidi ikiwa una nia ya dhati. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
•Kwa kudokeza tu, biashara imejikita katika utoaji huduma.
•Makabidhiano ya pesa yataambatana na utiaji saini kwenye mkataba chini ya usimamizu wa serikali wakiwemo mashahidi wa pande zote mbili.
•Mkataba wetu utakuwa umekoma baada ya pesa uliyowekeza kufikia mara mbili.
•Napenda kukushauri kufika kujionea biashara yenyewe kabla ya kufanya uamuzi wa mwisho kwasababu ni biashara ambayo imejipambanua kipekee kwa hiyo itafaa sana upate picha kubwa"THE BIG PICTURE."
Mimi ni kijana wa kitanzania mkazi wa Dar es Salaam elimu yangu ni kidato cha sita. Awali kabisa napenda ieleweke kwamba dhumuni ni kukuza na kuiboresha biashara (sitasema biashara yenyewe hapa kwa sababu za kimaslahi) kwa maana kwamba biashara tayari ipo(Gongo la mboto, Dar es Salaam). Kiasi kinachotakiwa hapa ni Tsh.3,500,000/=(Milioni tatu na nusu).
Kinachokwenda kufanyika ni kuizalisha pesa yako kufikia mara mbili ya kiasi unachowekeza katika kipindi ambacho kitakuwa ni cha ahueni kwa pande zote mbili (biashara na muwekezaji) na kipindi chenyewe kitaamuliwa baada ya mazungumzo kati yetu. Tafadhali jongea PM kwa maelezo na mazungumzo zaidi ikiwa una nia ya dhati. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
•Kwa kudokeza tu, biashara imejikita katika utoaji huduma.
•Makabidhiano ya pesa yataambatana na utiaji saini kwenye mkataba chini ya usimamizu wa serikali wakiwemo mashahidi wa pande zote mbili.
•Mkataba wetu utakuwa umekoma baada ya pesa uliyowekeza kufikia mara mbili.
•Napenda kukushauri kufika kujionea biashara yenyewe kabla ya kufanya uamuzi wa mwisho kwasababu ni biashara ambayo imejipambanua kipekee kwa hiyo itafaa sana upate picha kubwa"THE BIG PICTURE."