Foxhunters
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 160
- 108
Mtafute Sensei adriz au Sensei Bujibuji Simba Nyamaume au Sensei King Kong III utajua kuliko hata Bruce Lee sawa?Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Anza na muuza madafu...Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Umri umeshaenda huo na hautaona faida wala manufaa ya huo mchezo, 😂😂😂Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Tujue kwanza dhumuni lako la mafunzo haya unayoyataka ni kwa minajili gani baada ya hapo tutajua namna ya kukusaidiaHabari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Nataka aliyepo manispaa ya kigoma ujiji. Boss ndiyo nakopatikana.Mtafute Sensei adriz au Sensei Bujibuji Simba Nyamaume au Sensei King Kong III utajua kuliko hata Bruce Lee sawa?
Huyo siwezi kumfikiaAnza na muuza madafu...
Kwa kuanzia,ili niweze kuandaa wanangu 4yrs na 1yrsUmri umeshaenda huo na hautaona faida wala manufaa ya huo mchezo, 😂😂😂
Anza na muuza madafu.
Tujue kwanza dhumuni lako la mafunzo haya unayoyataka ni kwa minajili gani baada ya hapo tutajua namna ya kukusaidia
Saa tisa siyo jioni Bali alasiri/Al asrHabari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Siku hizi ngumu ni ghafla tu,wakosa adabu wengiMuuza madafu sidhani kama atamfaa.Ni kwanini atafute mafunzo haya. Anataka kuyatumia vipi
Ulinzi binafsi tuu.Tujue kwanza dhumuni lako la mafunzo haya unayoyataka ni kwa minajili gani baada ya hapo tutajua namna ya kukusaidia
Nashukuru kwa kunirekebishaSaa tisa siyo jioni Bali alasiri/Al asr
Ni kitu nilikuwa napenda toka utotoni sema malezi yalinibana sana, zikaba harakati za shule nako nikawa nimebanwa na mazingira. Na hata nulipo ajiliwa kwa mara ya kwanza nikapelekwa vijijini,Sasa ni baba najitegemea na wakati sahihi kwangu kutimiza ndoto yangu.Siku hizi ngumu ni ghafla tu,wakosa adabu wengi
Watoto ninao tayari, huyo mtoto wa mtu akinikmbia atakuwa amefanya jambo la maanaMaster tupo ila zoezi la kwanza ni kuchana msamba.
Na ukikaa mkao wa kizembe utajikuta unavunja uzazi na yule bidada akukimbie.
Nitalipa na niko tayari.Yaani umlipe mtu mshahara ili aje kukufundisha ngumi wakati ukiingia YouTube unakutana na content kibwena.
Kwa nini usitumie YouTube kujifunza mwenyewe?Nitalipa na niko tayari.