Foxhunters
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 160
- 108
- Thread starter
- #41
Niko kigoma nduguWalimu wapo wengi tu, wanakufuata mpaka ulipo, ungekuwa dar ningekuunganisha na mtu kwa mwezi laki moja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko kigoma nduguWalimu wapo wengi tu, wanakufuata mpaka ulipo, ungekuwa dar ningekuunganisha na mtu kwa mwezi laki moja tu.
Wajuaji hamkosekani.Yaani umlipe mtu mshahara ili aje kukufundisha ngumi wakati ukiingia YouTube unakutana na content kibwena.
bila shaka itakuwa ubungo Islamic hiyoKwa Kigoma mimi sifahamu ndugu yangu! Mimi ni mzaliwa wa Dar nimefundishwa hapa hapa Dar.
Shule niliyokuwa nasoma ilikuwa na hili somo la karate.
Mwalimu ndiyo kila kitu!Nakushukuru kwa mwongozo mzuri, na nitaufanyia kazi ila suala la mwalimu ni mhimu sana kwangu
Hapana! Sijasoma shule za dini!bila shaka itakuwa ubungo Islamic hiyo
AsanteMwalimu ndiyo kila kitu!
Ukipata mwalimu utapata mwongozo mzuri. Kwa sababu technique utakazofundishwa ni lazima mwalimu akuelekeze ni namna gani ya kuweza kuzitumia kwenye pambano halisi. Kwa namna hiyo ni lazima watu wawili muwepo ili uweze kuzitumia kivitendo na kiusahihi.
Lakini hilo ni kufundishwa! Sasa ni lazima upimwe ulichofundishwa kwenye pambano halisi unaweza kukitumia? Ukumbuke kwenye pambano halisi mtu haji kama mnavyofundishwa?! Mtu anakuja anavyojua yeye mwenyewe!
Sasa wewe kwa kupitia yale mafunzo apply utayatumia vipi! Sasa ukiwa na mwalimu atakuelekeza utishe wapi hapa ufanye nini! Ukitisha hapa ataingia huku ama na wewe utafanya hivi
Umri umeshaenda huo na hautaona faida wala manufaa ya huo mchezo, 😂😂😂chezo unahitaji kubinuka binuka
Umri umeenda utaweza kubinuka binuka ? Sijui, labda defensive artHabari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Umri umeshaenda huo na hautaona faida wala manufaa ya huo mchezo, 😂😂😂chezo unahitaji kubinuka binuka
Weka mabango kwenye miti huko huko kigoma namba Yako ya simu na hitaji lako ,very simple and no headache, ama tembea na Bangor lako huko huko mwisho wa reliNataka aliyepo kigoma ujiji manispaa, akiwa mbali itakuwa shida.
Mkuu kwa dar ni wapi wanatoa hayo mafunzo kwa usahihi zaidi?Ndugu yangu!
Ujifunze You tube tayari uwe na msingi wa kufahamu mambo yaani tayari uwe umeshajifunza. Kwa namna hiyo itakusaidia kupata baadhi ya technique.
Kwa sababu kuna mazoezi ya kuandaa viungo na kuvijengea uimara na uwepesi na umadhubuti.
Utafundishwa namna ya ngumi ukunje vipi na uirushe vipi na kwa uharaka au wepesi wa namna gani na nguvu ya ngumi inatokea wapi na kwa namna gani utaijenga.
Nguvu ya teke na linatokea wapi yaani kwa namna gani uukunje mguu na upige vipi! Na kwa kasi ya namna gani!
Hayo ni mfano mdogo tu ila kuna mengi!
Sasa kabla ya kufikia huko ni lazima mwili ujengwe kwa msingi mzuri wa mazoezi elekezi ya viungo.
Hata hayo mazoezi ili kuyahimili vizuri ni lazima muwekwe wawili ili ufahamu namna gani ya kuyatumia. Ikifika hatua fulani mnapambanishwa ili uonekane ulichofundishwa unajua kukitumia?!
Kwa ufupi na kwa haraka haraka inakuwa hivyo!
Age inasoma 30 viungo vimeshakaza huyo huo msamba ataweza kweli 🤣Master tupo ila zoezi la kwanza ni kuchana msamba.
Na ukikaa mkao wa kizembe utajikuta unavunja uzazi na yule bidada akukimbie.
Mkuu ujifunzie ngumi youtube? Labda unataka ugeuzwe punching bagYaani umlipe mtu mshahara ili aje kukufundisha ngumi wakati ukiingia YouTube unakutana na content kibwena.
Mazoezi ya awali Nampa Kazi ya kubeba mafurushi ya viatu 😁akifuzu ndo tuende next stepMtafute master ringo Mpaji Mungu hutojutia
Ngumi huwezi kujifunzia You Onei Geshimashi
Mazoezi ya awali Nampa Kazi ya kubeba mafurushi ya viatu 😁akifuzu ndo tuende next step
Aripoti avalie kama wale mamonker wa kwenye templeView attachment 2976422
Aanze mara moja
Ila haya mafunzo n mazuriAripoti avalie kama wale mamonker wa kwenye temple