Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Anhaa tumekustukia kumbe lengo lako ni kukwepa majukumuWatoto jinai tayari, huyo mtoto wa mtu akinikmbia atakuwa amefanya jambo la maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa tumekustukia kumbe lengo lako ni kukwepa majukumuWatoto jinai tayari, huyo mtoto wa mtu akinikmbia atakuwa amefanya jambo la maana
Hapana,nimejibu mchangiaji hapo juu kwamba nikianza mazoezi ntaua uzazi mwanamke atanikimbia.Anhaa tumekustukia kumbe lengo lako ni kukwepa majukumu
Nakupa contact ila yupo darHabari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Nataka aliyepo kigoma ujiji manispaa, akiwa mbali itakuwa shida.Nakupa contact ila yupo dar
Huyo adriz ni wa kawaida Sana, Niko tayari kufanya open challenge nae.Mtafute Sensei adriz au Sensei Bujibuji Simba Nyamaume au Sensei King Kong III utajua kuliko hata Bruce Lee sawa?
Hili siyo lengo la uzi wangu jamani, kama unatofautiana naye tafuta namna nzui ya kuzimaliza bila kupigana mbele ya camera.Huyo adriz ni wa kawaida Sana, Niko tayari kufa ya open challenge nae.
Humu tuki rekodiwa na camera, ili Nim twange kwa style zangu za mapigano ya kihistoria
Ondoa Shaka, adriz ni ndugu na mtani wangu Kaka😀😂Hili siyo lengo la uzi wangu jamani, kama unatofautiana naye tafuta namna nzui ya kuzimaliza bila kupigana mbele ya camera.
Ngumi huwezi kujifunzia You tube kamanda.Yaani umlipe mtu mshahara ili aje kukufundisha ngumi wakati ukiingia YouTube unakutana na content kibwena.
Hahaha, series Zina kudanganya master 😀😂Master tupo ila zoezi la kwanza ni kuchana msamba.
Na ukikaa mkao wa kizembe utajikuta unavunja uzazi na yule bidada akukimbie.
Mkuu Sanaa ya mapigano you tube kweli??, Kuna style mpaka master awepo aisee.Kwa nini usitumie YouTube kujifunza mwenyewe?
Nenda kigoma ujiji/kabondo kamtafute shekhe mzee ndani ya mwezi unakuwa fitHabari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Nisaidie connection nipate mwalimu hapa kigoma.Ngumi huwezi kujifunzia You tube kamanda.
Nimecheza karate aina ya Shaolinji Kempo.
Shekhe nani na anapatikana msikiti upi ,ili usinipe namba nitamfuata mwenyewe face to faceNenda kigoma ujiji/kabondo kamtafute shekhe mzee ndani ya mwezi unakuwa fit
Ndugu yangu!Kwa nini usitumie YouTube kujifunza mwenyewe?
Nakushukuru kwa mwongozo mzuri, na nitaufanyia kazi ila suala la mwalimu ni mhimu sana kwanguNdugu yangu!
Ujifunze You tube tayari uwe na msingi wa kufahamu mambo yaani tayari uwe umeshajifunza. Kwa namna hiyo itakusaidia kupata baadhi ya technique.
Kwa sababu kuna mazoezi ya kuandaa viungo na kuvijengea uimara na uwepesi na umadhubuti.
Utafundishwa namna ya ngumi ukunje vipi na uirushe vipi na kwa uharaka au wepesi wa namna gani na nguvu ya ngumi inatokea wapi na kwa namna gani utaijenga.
Nguvu ya teke na linatokea wapi yaani kwa namna gani uukunje mguu na upige vipi!
Hayo ni mfano mdogo tu ila kuna mengi!
Sasa kabla ya kufikia huko ni lazima mwili ujengwe kwa msingi mzuri wa mazoezi elekezi ya viungo.
Hata hayo mazoezi ili kuyahimili vizuri ni lazima muwekwe wawili ili ufahamu namna gani ya kuyatumia. Ikifika hatua fulani mnapambanishwa ili uonekane ulichofundishwa unajua kukitumia?!
Kwa ufupi na kwa haraka haraka inakuwa hivyo!
Kwa Kigoma mimi sifahamu ndugu yangu! Mimi ni mzaliwa wa Dar nimefundishwa hapa hapa Dar.Nisaidie connection nipate mwalimu hapa kigoma.
Wewe kama unataka mwalimu wa martial arts na uko ujiji muulize mtu yoyote nataka kuonana na she mzee kiumbe au Dabasi kiumbe utapelekwa mpaka kwakeNisaidie connection nipate mwalimu hapa kigoma.
Shekhe nani na anapatikana msikiti upi ,ili usinipe namba nitamfuata mwenyewe face to face
Walimu wapo wengi tu, wanakufuata mpaka ulipo, ungekuwa dar ningekuunganisha na mtu kwa mwezi laki moja tu.Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka.
Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji.
Nilikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu ila sikuweza kuitimiza ijapokuwa umri umeenda niko tayari kujifunza . Muda wangu ni kuanzia saa tisa na nusu jioni mpaka usiku na weekend.
Niko tayari kujifunza kwa nidhamu ya hali ya juu sana.
Kwa nini usitumie YouTube kujifunza mwenyewe?
Kwa dar nisingesumbuka hivi ndugu,kuna master mfaume mfaume. Angemaliza kazi maana mpk kiwango cha malipo tulielewana sema mipango si matumizi nilikwama ruhusa ya mwajili kwenda masomoni. Ambapo ningegawa muda wa module na mazoezi. Pia. Hivyo kwa Sasa nimehamishiwa huku kikazi. Ndiyo maana napambanaKwa Kigoma mimi sifahamu ndugu yangu! Mimi ni mzaliwa wa Dar nimefundishwa hapa hapa Dar.
Shule niliyokuwa nasoma ilikuwa na hili somo la karate.
Umemaliza shukrani sana . Kesho nitakupa mrejesho.Wewe kama unataka mwalimu wa martial arts na uko ujiji muulize mtu yoyote nataka kuonana na she mzee kiumbe au Dabasi kiumbe utapelekwa mpaka kwake