Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mwenye traaaako la taifa😅😅😅Wenye guu la Taifa!😄😄😄
Mimi nawashangaa Hawa wanaojifanya wanaijua.dini.but in reality hawajui..kitu...Waafrika tuna matatizo sana kwenye Imani.
Ila kwasababu anajua sana wala sitabishana nae maana hawa ndio akihifadhi Juzuu Amma Tu anaona wenzake wote hawaendi Peponi isipokuwa wao.
English yanfunga na Fungua semi Ni Nini?Hahaha yaani mimi nacheka humo kwenye funga na fungua semi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🏃🏃🏃Sio mwenye traaaako la taifa😅😅😅
Quotation marks dearEnglish yanfunga na Fungua semi Ni Nini?
WasubiriUmri usiozidi miaka 35.
Awe mtanzania wa kuzaliwa.
Asiwe amewahi kuwa ndani ya Ndoa (Kuolewa na kuachika-Hapana)
Awe amesoma angalau kiasi.
Awe mwenye Hofu ya Mungu.
Awe anajitambua na mwenye kujishughulisha.
Mvuto wa ndani uushinde mvuto wa nje.
Akiwa na Ajira yake/Kazi yake itapendeza ila si lazima.
Awe anaishi Tanzania au Nje ya Tanzania lakini Uraia shurti uwe wa Tanzania.
Nia na madhumuni ni urafiki ambao utaelekea mbele zaidi iwapo tutaridhiana,kuendana na nafsi zetu kukubaliana.
Mimi nina uraia wa Tanzania,
Muislam na mwenye Umri wa Miaka 40,
Sikuwahi kuwa kwenye Ndoa,
Nimejiajiri na nina kipato cha 'Mkononi kwenda Kinywani'.
Mwanamama sikiliza nafsi yako na chukua maamuzi sasa iwapo unazo sifa tajwa.
Sifanyi mas'khara hapa.
Ukiwa unaye rafiki mwenye sifa hizo unaweza kumfahamisha pia.
Tuma maelezo yako binafsi PM.
Maisha yangu,uchaguzi wangu.Naona umri unaenda, usichague, mwanamke yoyote ili mradi anapumua na hayupo kwenye ndoa
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Maisha yangu,uchaguzi wangu.Naona umri unaenda, usichague, mwanamke yoyote ili mradi anapumua na hayupo kwenye ndoa
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Ungejifunza kuandika sawasawa kwanza ingependeza.Jimama hahahahahaha hawaji sikuizi wanataka vidogoli vina power wewe na 4040 yako umeshazeeka mbn usitafute kibint cha miaka 25 ndo vizuri au vp mkuu