Natafuta Mwanamama ili awe rafiki yangu 'mzurimzuri'

Natafuta Mwanamama ili awe rafiki yangu 'mzurimzuri'

Hahaha yaani mimi nacheka humo kwenye funga na fungua semi


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Waafrika tuna matatizo sana kwenye Imani.

Ila kwasababu anajua sana wala sitabishana nae maana hawa ndio akihifadhi Juzuu Amma Tu anaona wenzake wote hawaendi Peponi isipokuwa wao.
Mimi nawashangaa Hawa wanaojifanya wanaijua.dini.but in reality hawajui..kitu...

Mkuu wewe fanya yako...
 
Umri usiozidi miaka 35.
Awe mtanzania wa kuzaliwa.
Asiwe amewahi kuwa ndani ya Ndoa (Kuolewa na kuachika-Hapana)
Awe amesoma angalau kiasi.
Awe mwenye Hofu ya Mungu.
Awe anajitambua na mwenye kujishughulisha.
Mvuto wa ndani uushinde mvuto wa nje.
Akiwa na Ajira yake/Kazi yake itapendeza ila si lazima.
Awe anaishi Tanzania au Nje ya Tanzania lakini Uraia shurti uwe wa Tanzania.

Nia na madhumuni ni urafiki ambao utaelekea mbele zaidi iwapo tutaridhiana,kuendana na nafsi zetu kukubaliana.

Mimi nina uraia wa Tanzania,
Muislam na mwenye Umri wa Miaka 40,
Sikuwahi kuwa kwenye Ndoa,
Nimejiajiri na nina kipato cha 'Mkononi kwenda Kinywani'.

Mwanamama sikiliza nafsi yako na chukua maamuzi sasa iwapo unazo sifa tajwa.
Sifanyi mas'khara hapa.

Ukiwa unaye rafiki mwenye sifa hizo unaweza kumfahamisha pia.

Tuma maelezo yako binafsi PM.
Wasubiri
 
Naona umri unaenda, usichague, mwanamke yoyote ili mradi anapumua na hayupo kwenye ndoa

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Maisha yangu,uchaguzi wangu.
Mungu ndie fundi na ajuae yote.
Ahsante kwa kuja.
Jimama hahahahahaha hawaji sikuizi wanataka vidogoli vina power wewe na 4040 yako umeshazeeka mbn usitafute kibint cha miaka 25 ndo vizuri au vp mkuu
Ungejifunza kuandika sawasawa kwanza ingependeza.
Lakini ahsante kwa kuja pia.
 
Naomba temporary job ya u HR manake watakuja wengi ili niwafanyie interview/ mchujo......
 
Back
Top Bottom