Natafuta Mwanamama ili awe rafiki yangu 'mzurimzuri'

UMESHALIPATA JIMAMA KAKA....???
Marekebisho;
Mimi natafuta Mwanamama sio 'jimama'.

Kujibu swali lako;
Bado sijafanikiwa. Wanaokuja hawana Nia ya dhati.
Nahitaji mtu mwenye vigezo nilivyoainisha na ambae nae anao uhitaji kama mimi kwa Nia ya dhati.
 
Ni kwamba vigezo ni vigumu au wanamama mnadhani natania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…