hbi
JF-Expert Member
- Feb 6, 2011
- 678
- 298
Habari wanajamvi, ninatafuta mtu wa kushirikiana nae kwenye biashara ya kuuza chakula maarufu kama Mama Lishe. Ninapendelea huyo mtu awe na uzoefu wa biashara hiyo kwani atakuwa mpishi mkuu.Pia awe anaishi Dar es salaam, Tutazungumza makubaliano yatakvyokuwa ila kwa ufupi mimi nitatoa gharama zote zinazotakiwa za kuanzisha biashara hii. Tutaelewana namna ambavyo tutagawana nae faida itakayokuwa inapatikana. Ambaye yupo tayari au kama una mtu unamfahamu anaweza mwambie awasiliane na mimi kupitia simu namba 0678692973. Tuma meseji tafadhali.