Ubuntu trusty tahr
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 326
- 227
- Thread starter
- #121
Unauhakika?Baada ya hapo watoto wanaenda wapi, asee mi hata kwa bilion moja siingii mkataba kama huo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauhakika?Baada ya hapo watoto wanaenda wapi, asee mi hata kwa bilion moja siingii mkataba kama huo,
Tamani yangu na uzazi wanhu kubwa kuliko pesa.anyway kila mtu ana akili yake kwa kweli as for me, bado sijashawishika to be honest, yaani nikuzalie unilipe???? Why? Kwa nini nisitafute mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia na wote tukakabiliana na majukumu ya kujenga familia yetu, hata kama ningekua sijaolewa bado pia singeshawishikaUnauhakika?
Sawa ni mtazamo wakoTamani yangu na uzazi wanhu kubwa kuliko pesa.anyway kila mtu ana akili yake kwa kweli as for me, bado sijashawishika to be honest, yaani nikuzalie unilipe???? Why? Kwa nini nisitafute mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia na wote tukakabiliana na majukumu ya kujenga familia yetu, hata kama ningekua sijaolewa bado pia singeshawishika
Ndo katumie approach nzuri sasa sio hiyo ya kujichetua kama hakataki!Mapenzi yanauma asikwambie mtu
NakusalimuNdo katumie approach nzuri sasa sio hiyo ya kujichetua kama hakataki!
😂nisubiri ili kikizama ntakuokoaNakusalimu
Nipo nawaza kuvuka hapa bweni nisije kuzama namie bure
Ha haaa mwanamke wewe ukisikia hela unavibrite kabisa loohHiyo hela imenitoa roho jamani, sasa kiingereza tu sijui ndio hicho kifaransa!!!!!! Mkuu hautaki hata yaya jamani.
Habarin dada zangu wa mkoani na dsm natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili tuu kwa malipo ya tsh 10 M matunzo na huduma nyingine nitatoa mimi mwenyewe wakati wote..Awe na sifa zifuatazo
1)Mweupe na mwembamba kiasi
2)Mrefu
3)Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.
4)Awe na elimu ya kuanzia shahada na kuendelea awe anajua kuongea kwa usahihi lugha ya kingereza na kifaransa
Kama kuna aliyeko tayari aje inbox
KINACHOJIRI SASA
Wakuu natumaini maendeleo yenu kiafya ni mazuri sana.Kwa kipindi kifupi cha wakati hatimaye nimempata mwanamke mwenye sifa nilizoorodhesha Hata hivyo ametaka dau lipande na kufikia 18M. Leo atafanyiwa usaili wa mambo mengine pamoja na usaili wa vipimo vya Afya ili kujiridhisha kuwa hana tatizo lolote.....Natumaini baada ya hapo kama akifaulu kwa kiwango ninachotaka tutaweza kuendelea na hatua inayofuatia.