Trouton
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,203
- 1,381
aisee!Ngoja nije DM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee!Ngoja nije DM
Namshukuru M/Mungu mimi na familia yangu sote hatujambo,ni changamoto tu za maisha ndio zinatufanya tunapotea kiasi ndugu yanguHabari za masiku mkuu, nilikumiss sana jukwaa hili kwani watu wa uhalisia walipungu. Umenena kweli hata wengine tuliambiwa kuwa wao wanatafuta watoto, mtoto alipopatikana anataka kupindua big house!
umekosa sifa gani hapo ?Bahati mbaya sifa moja sina. Kila la heri mkuu
Naona umekuwa mtetezi wao
Yaani nami nitakuwa na zaa na wadada kwa style hii hela si ninayoNimekufundisha jambo gani
Amepatikana kwa 18 MYaani nami nitakuwa na zaa na wadada kwa style hii hela si ninayo
Hiyo pesa ni nyingi sana kwani mchumba wako ukimpa 5M akafanye shopping utajisikiaje?Milioni 10 kuzaa watoto 2 ni pesa ndogo sana
Shopping sio kuzaa watotoHiyo pesa ni nyingi sana kwani mchumba wako ukimpa 5M akafanye shopping utajisikiaje?
😂😂😂😂ila kweli mkuu!Huwajui wanawake wa bongo wewe , Mil. 10 zako atapokea watoto atakuzalia na baada ya hapo atakung'ang'ania kama ngozi katika mwili
Akishindwa kwa Sangoma basi hata ikulu atakwenda peku ili aonekane ameonewa,kachanganyikiwa au kachizika,na bunge Zima + nchi italipuka kumtetea Muulize Sugu atakwambia
We jamaa noma, huko mtaani hujawaona wapo wengi tu, hata bure anakuzalia.Habarin dada zangu wa mkoani na dsm natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili tuu kwa malipo ya tsh 10 M matunzo na huduma nyingine nitatoa mimi mwenyewe wakati wote..Awe na sifa zifuatazo
1)Mweupe na mwembamba kiasi
2)Mrefu
3)Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.
4)Awe na elimu ya kuanzia shahada na kuendelea awe anajua kuongea kwa usahihi lugha ya kingereza na kifaransa
Kama kuna aliyeko tayari aje inbox
KINACHOJIRI SASA
Wakuu natumaini maendeleo yenu kiafya ni mazuri sana.Kwa kipindi kifupi cha wakati hatimaye nimempata mwanamke mwenye sifa nilizoorodhesha Hata hivyo ametaka dau lipande na kufikia 18M. Leo atafanyiwa usaili wa mambo mengine pamoja na usaili wa vipimo vya Afya ili kujiridhisha kuwa hana tatizo lolote.....Natumaini baada ya hapo kama akifaulu kwa kiwango ninachotaka tutaweza kuendelea na hatua inayofuatia.
Sinaga miyeyusho brotherWe jamaa noma, huko mtaani hujawaona wapo wengi tu, hata bure anakuzalia.
Hili tangazo naona ni chambo kwa watakaotaka ila wasichana nendeni na mawakili wenu mkafunge mkataba akijifanya hatoi mpunga mzamisheni kwa pilato
Unahisi pesanyingi ni kuanzia TSH ngp?Shopping sio kuzaa watoto
Huwajui wanawake wa bongo wewe , Mil. 10 zako atapokea watoto atakuzalia na baada ya hapo atakung'ang'ania kama ngozi katika mwili
Akishindwa kwa Sangoma basi hata ikulu atakwenda peku ili aonekane ameonewa,kachanganyikiwa au kachizika,na bunge Zima + nchi italipuka kumtetea Muulize Sugu atakwambia
Habarin dada zangu wa mkoani na dsm natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili tuu kwa malipo ya tsh 10 M matunzo na huduma nyingine nitatoa mimi mwenyewe wakati wote..Awe na sifa zifuatazo
1)Mweupe na mwembamba kiasi
2)Mrefu
3)Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.
4)Awe na elimu ya kuanzia shahada na kuendelea awe anajua kuongea kwa usahihi lugha ya kingereza na kifaransa
Kama kuna aliyeko tayari aje inbox
KINACHOJIRI SASA
Wakuu natumaini maendeleo yenu kiafya ni mazuri sana.Kwa kipindi kifupi cha wakati hatimaye nimempata mwanamke mwenye sifa nilizoorodhesha Hata hivyo ametaka dau lipande na kufikia 18M. Leo atafanyiwa usaili wa mambo mengine pamoja na usaili wa vipimo vya Afya ili kujiridhisha kuwa hana tatizo lolote.....Natumaini baada ya hapo kama akifaulu kwa kiwango ninachotaka tutaweza kuendelea na hatua inayofuatia.
HaiwezekaniHahhaahaaa mtagawana mpaka watoto
Mapenzi yanauma asikwambie mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila kweli mkuu!
Kale kademu kanampenda sana sugu ila kanijifanya kumtolea matusi