Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

Halafu kweli. Maana kuzaa watoto wawili haraka haraka nako kunazeesha. Ngoja tuone kama atakubali offer yetu. Million 5 na hela ya matumizi si haba.
Hapo kwenye kifaransa itabidi baba watoto atupeleke course mapema kabla watoto hajawajaja
Watu wanazeeka kutokana na matunzo si mazuri, lishe ya kunenepesha na stress za maisha.

We mzalie huyo, sema mwambie aongeze ifike 20M.
 
Dunia imejaaa maajabu, huyu MTU atakuwa agent wa MTU fulani tena.mzungu kama sikosei. Imagine MTU anapenda kitu kimoja kwako? Akupe mimba tuu?

Uzi huu umenikumbusha tukio Fulani ndipo nilipogungua akili za wanaume wotee ni sawa.

Iko hivi kuna Shoga yangu yeye anapenda sana kuolewa na wazungu, ktk zunguka akampaka mzungu yupo tiyari kwa ndoa, dah ila akashindwa kitu kimoja.

Huyo mzungu alimwambia anapenda wanawake wa kiafrika lakini kwenye kitu Fulani bila hicho no ndoa. kizuri cha wazungu wako open. Sasa Shoga yangu hicho kitu hana, na tumeshibana, so tunasimuliana na anajua hicho kitu ninacho mm, samahani siwezi kamwe kusema hapa.

Basi Shoga kaja kwangu kanambia kama Niko tiyari basi ampe mawasiliano yangu. Sikuwa na time na mahusiano so nilimwambia siko tiyari.

Baada ya hill tukio niliwaza nini maana ya love?? Yaan MTU apende kitu kimoja kutoka kwako na sio vingine kweli hapo kuna upendo? Maana bila hicho hakuna upendo? Hii dunia haiko fair.
Nikawaza Huyu mwanaume hicho kitu atakipata kivip? Mbona sio common kivile? Hapo ndipo nilisema shikamoo nguvu ya pesa. Ana kiburi cha pesa kutamka eti yeye anataka kitu Fulani kisa pesa bila upendo kama mleta mada.

Coz nijuavyo MTU apende vyote ulivyonavyo, akiona kucha, mikono miguu, kichwa chako macho, ongea yako vyote avipende sio kupenda kupenda kiungo cha mwili and that's all. Dah ee Mungu.
Wewe hujamwelewaa mleta mada,
Yeye hataki habari za love na maujinga mengine.

Yeye anataka watoto wawili umzalie akulipe basi.

Tena bora huyu kaja wazi, hivyo ni wewe kuamua.

Sasa unaanza kuleta stori hazina kichwa wala miguu sijui nini huko.

Ma single maza kibao almost 80% hawapewi hata kumi ya matunzo ya mtoto na kuolewa haolewi sembuse 10m??

Wabongo tuache longolongo.
 
Mama kwa huyu mtoa mada hataki mapenzi yeye ni biashara ya mtoto halafu kila MTU na njia zake. Ingekua mapenzi asingeweka masharti yote hayo
Exactly!!
Huyu analeta ishu za kilokole kwenye kazi za watu
 
Sasa Degree inasaidia nini ktk kukuzalia mbona umeweka kikwazo kwa walio vijijini na wanaojitafutia riziki mitaani wapate mtaji
 
Wewe hujamwelewaa mleta mada,
Yeye hataki habari za love na maujinga mengine.

Yeye anataka watoto wawili umzalie akulipe basi.

Tena bora huyu kaja wazi, hivyo ni wewe kuamua.

Sasa unaanza kuleta stori hazina kichwa wala miguu sijui nini huko.

Ma single maza kibao almost 80% hawapewi hata kumi ya matunzo ya mtoto na kuolewa haolewi sembuse 10m??

Wabongo tuache longolongo.
Wewe ndo hujaelewa vizuri, kumbe mimba inaingia bila upendo? Inaweza isiingie miaka nenda rudi.

Uwezi kunilazimisha ni comment unavyotaka . after all Jf tuko free kuongea unachoona ni sahihi.
 
Mchukue zari the boss lady ndani ya miaka 2 utakuwa na watoto 2 tayari
 
Habarin dada zangu wa mkoani na dsm natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili tuu kwa malipo ya tsh 10 M matunzo na huduma nyingine nitatoa mimi mwenyewe wakati wote..Awe na sifa zifuatazo

1)Mweupe na mwembamba kiasi

2)Mrefu

3)Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.

4)Awe na elimu ya kuanzia shahada na kuendelea awe anajua kuongea kwa usahihi lugha ya kingereza na kifaransa

Kama kuna aliyeko tayari aje inbox
Advance unatoa sh ngapi?
 
Habarin dada zangu wa mkoani na dsm natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili tuu kwa malipo ya tsh 10 M matunzo na huduma nyingine nitatoa mimi mwenyewe wakati wote..Awe na sifa zifuatazo

1)Mweupe na mwembamba kiasi

2)Mrefu

3)Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.

4)Awe na elimu ya kuanzia shahada na kuendelea awe anajua kuongea kwa usahihi lugha ya kingereza na kifaransa

Kama kuna aliyeko tayari aje inbox

MKATABA HAUITAJI HAYA MASHARTI YA AKILI ETC, HUU UTAPELI
 
Kwann ukimbilie advance unataka upige advance usepe.... Wanawake wa bongo kwa logistic ni balaa.

Nimejikuta kucheka tu#Miss Natafuta#
Yaani project kama hii itakosa advance Mkuu? Itakuwa haiko fair
 
Najua wengi mmechukizwa na mawazo ya mtoa mada ila sioni kama ni kitu kikubwa kama kaamua kufanya maamuzi yake binafsi kikubwa ambacho nimekiona ni wazo zuri sana kwake kwa kuwa kitu kimoja kinachosababisha wanaume motality rate yetu iongezeke ni stress zinazoletwa na hawa jinsia ke so ni maamuzi mazuri sana nitakuja kufanya hivyo pia ni swala cha muda tu.
 
Huwajui wanawake wa bongo wewe , Mil. 10 zako atapokea watoto atakuzalia na baada ya hapo atakung'ang'ania kama ngozi katika mwili
Akishindwa kwa Sangoma basi hata ikulu atakwenda peku ili aonekane ameonewa,kachanganyikiwa au kachizika,na bunge Zima + nchi italipuka kumtetea Muulize Sugu atakwambia
Bora hata amzalie.
Anaweza pia beba mimba ya jamaa jingine na kumsingizia mhusika kuwa ni ya kwake.
Wanawake huwa hatuplan kuzaa nao Kama sio mkeo.
 
Fursa kwenu wadada wenye hitaji kama la jamaaa
 
Back
Top Bottom