Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

Si kasema wanaingia mkataba kabisa before?
Labda akimkatikia kiuno vizuri bas mkataba unaweza extended to permenent contract
Bongo hakunaga heshima ya mikataba,muda wowote unaweza kurekebishwa au kubatilishwa
 
Ha ha ha ha Kama utampata basi ujue huyo hana sifa moja katika sifa unazohitaji.
Awe na kuanzia Shahada anajua kifaransa na kiingereza kwa usahihi huyo mtu akikukubali wewe
kumzalia kwa 10 milion atakosa sifa hii
Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.
Heshima kwako
 
Tugawane deal, tumzalie mmoja mmoja ili miili nayo ibaki sexy
Halafu kweli. Maana kuzaa watoto wawili haraka haraka nako kunazeesha. Ngoja tuone kama atakubali offer yetu. Million 5 na hela ya matumizi si haba.
Hapo kwenye kifaransa itabidi baba watoto atupeleke course mapema kabla watoto hajawajaja
 
Hiyo hela imenitoa roho jamani, sasa kiingereza tu sijui ndio hicho kifaransa!!!!!! Mkuu hautaki hata yaya jamani.
 
Back
Top Bottom