Likasu
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 855
- 438
Mkifungua shule tutapunzika kuona haya tunayoyaona.Ndiyo maana tupo wote Humu mida yakazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkifungua shule tutapunzika kuona haya tunayoyaona.Ndiyo maana tupo wote Humu mida yakazi.
Yeah hakika ni mpango wangu kwani chini ya jua mambo yote yanawezekana natumaini utakuwa hujalielewa tangazo vizuri
Jibu limenifurahisha sanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo maana tupo wote Humu mida yakazi.
factSasa wewe umeandika kwa version ya kiswahili unataka muongeaji kingeleza na kifaransa ungeandika kwa version za hizo lugha hayo mengine ngoja niwaachie wanawake wenyewe
Bongo hakunaga heshima ya mikataba,muda wowote unaweza kurekebishwa au kubatilishwaSi kasema wanaingia mkataba kabisa before?
Labda akimkatikia kiuno vizuri bas mkataba unaweza extended to permenent contract
[emoji16][emoji23]Ndiyo ule ukoo wa akina Machupa kama umewahi usikia😀
Heshima kwakoHa ha ha ha Kama utampata basi ujue huyo hana sifa moja katika sifa unazohitaji.
Awe na kuanzia Shahada anajua kifaransa na kiingereza kwa usahihi huyo mtu akikukubali wewe
kumzalia kwa 10 milion atakosa sifa hii
Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.
msaidie alitakiwa afanyejeKazi tunayo,yaan unakodi tumbo la MTU.??
HahahahahaaaSi kasema wanaingia mkataba kabisa before?
Labda akimkatikia kiuno vizuri bas mkataba unaweza extended to permenent contract
Hahahahahaaa.. Hilo jibu lako sasaInaonekana una shule ndogo sana.
Ndiyo maana tupo wote Humu mida yakazi.
Papo kwa hapoSwali
Jibu.
Jibu ni fantastic mno na halijachelewa.
Tugawane deal, tumzalie mmoja mmoja ili miili nayo ibaki sexyMkuu sijui kifaransa na sio mnene sana. Naweza kuja kwenye usaili?
Phenomenal woman kuna deal hapa. Sema kifaransa issue
Halafu kweli. Maana kuzaa watoto wawili haraka haraka nako kunazeesha. Ngoja tuone kama atakubali offer yetu. Million 5 na hela ya matumizi si haba.Tugawane deal, tumzalie mmoja mmoja ili miili nayo ibaki sexy
Kwakweli.Baba watoto weka basi na fungu la French and English courses