Naishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.
1. Dini kwangu si kigezo sana, though mimi ni mkatoliki
2. Rangi si kigezo sana, though akiwa chocolate color is much better
3. tabia ni jambo la msingi, sio kila siku club sijui bar
4. awe presentable, ajue kuongea vizuri sio sauti kama kipaza sauti wakati mmekaa meza moja
5. umri ni kuanzia 26 and above
nadhani these are the basics kwa sasa
Asiwe anaropoka kama werevaaa plusHahaa namba 4 bana sauti kama nn hahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Asiwe anaropoka kama werevaaa plus
Hio namba 4 inanichosha hata Mimi. Ndani ya sikunde 15 ameshaongea topic 3 tofauti.Hahaa namba 4 bana sauti kama nn hahaha
Itakuwa nkuhungu tu.Jamani Dodoma... Dodoma makao makuu... Mtoa mada unaishi Dodoma sehemu gani isije ikawa nakufahamu
KaribuMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mda sasa natamani kuwa na mtu ila sipati bahati kukutana na mwanamke ambaye ana vigezo nnavyovitaka.
maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya nyuklia.
ninafanya kazi na nimepanga, natamani nipate mdada wa umri kuanzia 26 mpaka hata 40. awe na kazi na ametulia. nimechoka kuwa single.
Itakuwa nkuhungu tu.
Hio namba 4 inanichosha hata Mimi. Ndani ya sikunde 15 ameshaongea topic 3 tofauti.
gudNaishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.
1. Dini kwangu si kigezo sana, though mimi ni mkatoliki
2. Rangi si kigezo sana, though akiwa chocolate color is much better
3. tabia ni jambo la msingi, sio kila siku club sijui bar
4. awe presentable, ajue kuongea vizuri sio sauti kama kipaza sauti wakati mmekaa meza moja
5. umri ni kuanzia 26 and above
nadhani these are the basics kwa sasa
Kumbe na wewe Mwenyeji maeneo hayo eenh..Nkuhungu maarufu hasa kule ccm au makole
Kumbe na wewe Mwenyeji maeneo hayo eenh..
Hahahah zabibu ulikula?Ni mgeni mwenyeji huko
Hahahah zabibu ulikula?
Next time ukija ntonyeHuhuuu zabibu utazipata wapi za bure.hela nazo hazinipendi. SikulaSikula
Nilikula furu(wa kanda ya ziwa msidhan furu samaki bali ni tu sungwi tudogo)
Next time ukija ntonye
Mi pia nipo dodoma kisasa wewe upo wapNaishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.
1. Dini kwangu si kigezo sana, though mimi ni mkatoliki
2. Rangi si kigezo sana, though akiwa chocolate color is much better
3. tabia ni jambo la msingi, sio kila siku club sijui bar
4. awe presentable, ajue kuongea vizuri sio sauti kama kipaza sauti wakati mmekaa meza moja
5. umri ni kuanzia 26 and above
nadhani these are the basics kwa sasa