Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Hahaa namba 4 bana sauti kama nn hahaha
Naishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.
1. Dini kwangu si kigezo sana, though mimi ni mkatoliki
2. Rangi si kigezo sana, though akiwa chocolate color is much better
3. tabia ni jambo la msingi, sio kila siku club sijui bar
4. awe presentable, ajue kuongea vizuri sio sauti kama kipaza sauti wakati mmekaa meza moja
5. umri ni kuanzia 26 and above
nadhani these are the basics kwa sasa