Natafuta mwanamke aliyetulia na mwenye maisha

Natafuta mwanamke aliyetulia na mwenye maisha

Hahaa namba 4 bana sauti kama nn hahaha
Naishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.
1. Dini kwangu si kigezo sana, though mimi ni mkatoliki
2. Rangi si kigezo sana, though akiwa chocolate color is much better
3. tabia ni jambo la msingi, sio kila siku club sijui bar
4. awe presentable, ajue kuongea vizuri sio sauti kama kipaza sauti wakati mmekaa meza moja
5. umri ni kuanzia 26 and above
nadhani these are the basics kwa sasa
 
Jamani Dodoma... Dodoma makao makuu... Mtoa mada unaishi Dodoma sehemu gani isije ikawa nakufahamu
 
Mimi ninavyojua mtu mwenye maisha ni yule anaeishi au sio, hao wanaoishi wapo wengi sana.
Afu unasema haujapata bahati ya kukutana nao huko mtaani sio. Kwa hiyo umejiongeza na umeona humu utapata ambao hawapendi kuhongwa?
Basi nikutakie kila la heri.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mda sasa natamani kuwa na mtu ila sipati bahati kukutana na mwanamke ambaye ana vigezo nnavyovitaka.
maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya nyuklia.
ninafanya kazi na nimepanga, natamani nipate mdada wa umri kuanzia 26 mpaka hata 40. awe na kazi na ametulia. nimechoka kuwa single.
Karibu
 
Naishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.
1. Dini kwangu si kigezo sana, though mimi ni mkatoliki
2. Rangi si kigezo sana, though akiwa chocolate color is much better
3. tabia ni jambo la msingi, sio kila siku club sijui bar
4. awe presentable, ajue kuongea vizuri sio sauti kama kipaza sauti wakati mmekaa meza moja
5. umri ni kuanzia 26 and above
nadhani these are the basics kwa sasa
gud
 
Naishi Dodoma, so preferrably ukiwa huku ni vizuri zaidi.
1. Dini kwangu si kigezo sana, though mimi ni mkatoliki
2. Rangi si kigezo sana, though akiwa chocolate color is much better
3. tabia ni jambo la msingi, sio kila siku club sijui bar
4. awe presentable, ajue kuongea vizuri sio sauti kama kipaza sauti wakati mmekaa meza moja
5. umri ni kuanzia 26 and above
nadhani these are the basics kwa sasa
Mi pia nipo dodoma kisasa wewe upo wap
 
Back
Top Bottom