mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
NtakuchekHazina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NtakuchekHazina
si lazima uchangie, shida watz kila kitu wanajifanya wajuaji. nenda kenya hapo tu karibu watu walivyo open minded, shida mijitu huku wanajifanya conservative alafu hamna cha maana kila mda michepuko au kutembea na vibinti vya sekondari, this is what i feel, wewe kama unaona sijielewi chukua time zako.We mwenyew hujielewi ata unamtaka mwanamke wa dizain gani mara sponsor aliye na kazi mara wa miaka 40 utaacha kupata hayo mabomu ya nyuklia kweli???? Jifanyie evaluation kwanza ujue unataka nn, kwa huo umri sio wa kupoteza mda tena
Hapo wap mkuuUnamaanisha nini hapo boss
Mimi ni handsome na ni mrefu dear![emoji30]Weka picha Kwanza tukuone, na sisi hatutaki uwe na sura ya kushindia nyumban na mfupi
Una hela?Mimi ni handsome na ni mrefu dear![emoji30]
[emoji30][emoji30][emoji30] [emoji30] [emoji30]Una hela?
Ehee ssa utanitoaje out Jmniiii[emoji30][emoji30][emoji30] [emoji30] [emoji30]
Yaani unataka mtu handsome,mrefu na pesa juu???[emoji30][emoji30][emoji30].............huo ni ulafi sasa!![emoji30]Ehee ssa utanitoaje out Jmniiii
Kwahiyo sisi under 26 hatutakiwi🙂🙂Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mda sasa natamani kuwa na mtu ila sipati bahati kukutana na mwanamke ambaye ana vigezo nnavyovitaka.
maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya nyuklia.
ninafanya kazi na nimepanga, natamani nipate mdada wa umri kuanzia 26 mpaka hata 40. awe na kazi na ametulia. nimechoka kuwa single.
Hahahaaa hatariiiiiYaani unataka mtu handsome,mrefu na pesa juu???[emoji30][emoji30][emoji30].............huo ni ulafi sasa!![emoji30]
We Dada mungu anakuona,sura ya kudhindia Nyumbani na mfupi,,,nimecheka leooo hapana ww kiboko.Weka picha Kwanza tukuone, na sisi hatutaki uwe na sura ya kushindia nyumban na mfupi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]We Dada mungu anakuona,sura ya kudhindia Nyumbani na mfupi,,,nimecheka leooo hapana ww kiboko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
n wakat tu haujafka wa kwenuKwahiyo sisi under 26 hatutakiwi🙂🙂