Unamaneno matamu bt vigezo na mashart kuzingatiwaMimi nakila kitu
Mimi nikatoto kazuri na nina bachelor in love na sasa nasomea masters in love je nitapata nafasi najua kupenda kukulove kukuosha nguo nakupasi ukirudi kutoka kazini nakuosha miguu halafu massage ya mwili utapata naheshima mimi ni mpole na pia napenda kuwa mwaminifu je na chance??[emoji121][emoji121][emoji121][emoji121]
Tatizo sifa meku, I have a lot to do siwez pita mtaani kutafuta mwanamke mwenye sifa nilizo zitaja hapo wakt hata jf naweza kupata.. alafu umewakosea wanawake was jf kwa kuwaita majini..Mangi unatuaibisha wachagga wenzio meku.
Watoto wazuri wamejaa mitaani unakuja kutafuta majini huku mtandaoni meku?
Leka naiyo! Chaa
Mmbese mleu...meku atapotea akikutana na haya mashamkupeMangi unatuaibisha wachagga wenzio meku.
Watoto wazuri wamejaa mitaani unakuja kutafuta majini huku mtandaoni meku?
Leka naiyo! Chaa
Nitumie ka picha niamini hahaHata chura sina
Mtaani kwenu na kazini kwenu kote hakuna wanawake wenye sifa?? Au kutongoza ndo tatizo?Kwa majiana naitwa Elnest tesha, namiaka 33 natafuta mwanamke ambaye atakuwa tayar kufunga ndoa na Mimi .. sifa, awe mcha mungu, dini yoyote, awe na bachelor degree, masters, au PhD ikiwa computer science, information technology itakuwa vizur zaidi.. Binafsi nina bachelor degree ya computer engineering, nafanya kazi serikalini, kiuchumi najiweza.. Kama una vigezo ivyo welcome pm
Pole Sana!Kazini na mtaani hakuna mwenye vigezo
ThubutuuuNitumie ka picha niamini haha
Kwani kampuni lazima ufungue na mkeo?Nataka tufungue nae campan kaka, education is matter
Mimi hapa njoo pm ninayo diploma ya itKazini na mtaani hakuna mwenye vigezo
Tena nitakumaintain vizuriMimi hapa njoo pm ninayo diploma ya it
Elimu ya mwanamke na ndoa vina uhusiano gani?Mwenye ivyo vigezo sidhani Kama atakuwa shankupe.. usihisi nimekurupuka kuandika hi thread kaka.. Kama ningehitaj yyte ningepata uyo shankupe lakn kwa sifa izo hakuna shankupe hapo trust me