mti wa bib
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 138
- 120
Mmh ukipata utawajuaWamefanya Nini tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh ukipata utawajuaWamefanya Nini tena?
Nina wasiwasi na elimu yako.miaka 33 rudi shule kwanza chiefKwa majiana naitwa Elnest tesha, namiaka 33 natafuta mwanamke ambaye atakuwa tayar kufunga ndoa na Mimi .. sifa, awe mcha mungu, dini yoyote, awe na bachelor degree, masters, au PhD ikiwa computer science, information technology itakuwa vizur zaidi.. Binafsi nina bachelor degree ya computer engineering, nafanya kazi serikalini, kiuchumi najiweza.. Kama una vigezo ivyo welcome pm
Yaani kiuchumi unajiweza na unafanya kazi serikalini na hakuna dada aliyejilengesha hata mmoja? Unafanana na nitonye au King Kong III kwa sura?
Jumbe kama hizi nlikua nachukuliaga poa sana. Najiuliza hawa majamaa wanawazaga nini.
Ila nimekuja gundua wengine wako dead serious kuhusu hizi mambo. Wakikwambia yaliyowakuta na watu wao, unamuweka kabisa kwenye maombi atakaekuja dm awe mwema. [emoji119]
Ivi ni kweli unakopita kote hujampata yule wa kufanana na wewe?. Au ndo kazi 24/7?. Haya kila la kheri katika hitaji lako.
subiri upate matapeli au makahaba! naona ndicho mnacho kitafuta!
Hahahahahahahah humu naona unatafuta mwanamke wa kukutongoza wewe uwezi umri huo unatafuta mitandao endelea kusubiri jipige scrub avatar andika Bae watakuja
Mkuu mnataka kutengeneza operating system (OS) yenu 🤣🤣🤣🤣🤣Kwa majiana naitwa Elnest tesha, namiaka 33 natafuta mwanamke ambaye atakuwa tayar kufunga ndoa na Mimi .. sifa, awe mcha mungu, dini yoyote, awe na bachelor degree, masters, au PhD ikiwa computer science, information technology itakuwa vizur zaidi.. Binafsi nina bachelor degree ya computer engineering, nafanya kazi serikalini, kiuchumi najiweza.. Kama una vigezo ivyo welcome pm
Nimependa sana comment yako, Mm bado nipo single ila naona ndoa nyingi sana wanaume wanasema mshahara wa wake zao hawajui unanunua nn, yaan namaanisha pesa ya mke sio ya kuweka kwy budget yakoUnajidanganya sana tena, academic status has nothing to do kwenye ndoa, isitoshe wanawake ambao hawana elimu ya juu ndio hasa wake wema na siyo pasua kichwa kila kitu mpaka mdebate.
Kama unadhani degree ya mwanamke ni security kwa familia yenu unajidanganya ndoto za mchana pesa ya mwanamke ni yake na yako ni yenu wote.
Hatuna master au bachelor degree ya computer scienceVigezo vigumu Nini, au hakuna wanawake humu? Maana mpaka Sasa hata mmoja wakujipendekeza sijamuona
Tunahisi atakua mfupiStaki kuamini Kama jf hakuna wasomi wakike,!!! Au wanahisi mwanaume anayetafuta mwanamke mtandaoni atakuwa mbaya??
Haha njoo inbox my hubby ushanipata
Heri useme wewe mkuu. Vijana wako so disillusiooned. Lack of exposure and exprience locks young peoplea minds. Education ok maybe ...but a specific degree is just crazy. The world today haijalishi una bsc comp science , IT to achieve something. Youbcan have ur diploma is social science and a goal getter .Unajidanganya sana tena, academic status has nothing to do kwenye ndoa, isitoshe wanawake ambao hawana elimu ya juu ndio hasa wake wema na siyo pasua kichwa kila kitu mpaka mdebate.
Kama unadhani degree ya mwanamke ni security kwa familia yenu unajidanganya ndoto za mchana pesa ya mwanamke ni yake na yako ni yenu wote.