Hahahaaa! Anaweza akaoa mtalaka wa mtu kwa kushindwa kuzaa akashangaa yeye pigo moja mimba tayari. Labda amfunge kizazi kwanza.Hapo ungetafuta tu ambae ana matatizo hawezi kubeba mimba
Hahahaaa! Anaweza akaoa mtalaka wa mtu kwa kushindwa kuzaa akashangaa yeye pigo moja mimba tayari. Labda amfunge kizazi kwanza.
HelloKama wewe ni mwanamke na hutaki kuzaa basi njoo tuzungumze, yawezekana tukaishia kufunga ndoa mi nawe.
Mimi sihitaji mtoto kabisa.
Mimi naishi Dar es salaam.
Dini yangu ni mkristo.
Kwa upande wa mwanamke sina vigezo vingi kwasababu kigezo kikibwa tayari kipo kwamba huitaji kuzaa/huna mpango wowote wa kuzaa.
Kwa maelezo zaidi, nitumie Direct Message.
Asante kwa kuniuliza.Hautaki kuwa na watoto? Kwanini mkuu au tayari unao ila hutaki kuongeza wengine?
Asante kwa ushauri.Hapo ungetafuta tu ambae ana matatizo hawezi kubeba mimba
uzazi ni kama ualimu/udaktari. Ni witoKwa nn huhitaji kuzaaa?
Habari ?Hello
Sasa kwanini ulisema unataka mwanamke asiezaa Kama hutaki mpenz Wala ndoa kwann ulete masihara ila okay nikutakie Kila la kheriDooh kumbe tuko wengi? Sema mimi siyo tu kwamba sihitaji kuzaa bali pia sihitaji mpenzi wala ndoa yaani sihitaji ngono!
Duuh mkuu umesoma comment vizuri [emoji15][emoji15]Sasa kwanini ulisema unataka mwanamke asiezaa Kama hutaki mpenz Wala ndoa kwann ulete masihara ila okay nikutakie Kila la kheri
Kibinaadamu unahitaji kufunga ndoaSasa kwanini ulisema unataka mwanamke asiezaa Kama hutaki mpenz Wala ndoa kwann ulete masihara ila okay nikutakie Kila la kheri
Wewe mimi ndo nimesema nahitaji mwanamke ambaye hataki kuzaa. Huyo uliemjibu umesoma jina lake ni nani ? Na umeelewa alicho-comment ?Sasa kwanini ulisema unataka mwanamke asiezaa Kama hutaki mpenz Wala ndoa kwann ulete masihara ila okay nikutakie Kila la kheri
Sasa nimeelewaWewe mimi ndo nimesema nahitaji mwanamke ambaye hataki kuzaa. Huyo uliemjibu umesoma jina lake ni nani ? Na umeelewa alicho-comment ?
Asante sana!Sasa nimeelewa
Nani kasema kuzaa ni lazima ?Hautaki kuwa na watoto? Kwanini mkuu au tayari unao ila hutaki kuongeza wengine?
Kwahiyo mnaunganisha via vya uzazi ili nini kitokee?Nani kasema kuzaa ni lazima ?