Kwa hiyo mkuu huoni umuhimu wwt wa kuwa na mtoto?uzazi ni kama ualimu/udaktari. Ni wito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mkuu huoni umuhimu wwt wa kuwa na mtoto?uzazi ni kama ualimu/udaktari. Ni wito
Labda unitajie wewe huo umuhimu maana sina mali yoyote kwamba nitakosa mrithi. Kwangu mimi umuhimu wa mtoto ni kama ningekuwa na mali basi zipate mrithi.Kwa hiyo mkuu huoni umuhimu wwt wa kuwa na mtoto?
Hasa ikitoke mimba ikaingia je?Asante kwa ushauri.
Kuna watu hawana matatizo na wameamua hawahitaji kuzaa.
Duh! Na ukipata hizo Mali katika kutafuta ? Au hata kutafuta hutaki!Labda unitajie wewe huo umuhimu maana sina mali yoyote kwamba nitakosa mrithi. Kwangu mimi umuhimu wa mtoto ni kama ningekuwa na mali basi zipate mrithi.
FrictionKwahiyo mnaunganisha via vya uzazi ili nini kitokee?
Wewe kila unapounganisha huwa unatafuta mtoto ? Haya sema umefanya mara ngapi na una watoto wangapi kama kila unapounganisha huwa unatafuta mtoto ?Kwahiyo mnaunganisha via vya uzazi ili nini kitokee?
Kwanini nitake kuzaa ?Kwann hutaki kuzaa
AsanteMafanikio mema
Kwanini nitake kuzaa ?Kwann hutaki kuzaa
Umejaribu masister wa kanisani?Kama wewe ni mwanamke na hutaki kuzaa basi njoo tuzungumze, yawezekana tukaishia kufunga ndoa mi nawe.
Mimi sihitaji mtoto kabisa.
Mimi naishi Dar es salaam.
Dini yangu ni mkristo.
Kwa upande wa mwanamke sina vigezo vingi kwasababu kigezo kikibwa tayari kipo kwamba huitaji kuzaa/huna mpango wowote wa kuzaa.
Kwa maelezo zaidi, nitumie Direct Message.
Wewe umejaribu ?Umejaribu masister wa kanisani?
Sitafuti mwanamke asiyetaka kuzaa, nilishazaa tayari.Wewe umejaribu ?
Wale wana imani zao za kidiniSitafuti mwanamke asiyetaka kuzaa, nilishazaa tayari.
Ni ngumu sana kumtambua mwanamke mgumba kwa machoWagumba wapo kibao mbona
Usidanganyike, hakuna mtu asiye na nyege. Kwanini mapadre wanafilana wenyewe kwa wenyewe au walimu wa madrasat ufila watoto/wanafunzi wao? Dini ni usanii tu.Wale wana imani zao za kidini