Natafuta mwanamke mchaga

Hahahahahaha lol! Chura zipo lakini Mkuu? Behaviourist

 
Natafuta mwanamke mchaga wa kuoa awe mmachame au mrombo itapendeza
Umri kuanzia miaka 22.awe tayari kupima na kuolewa ndani ya miezi sita
Kasoro ya wa changa ni kuua the host, wanapenda pesa kuliko Mme, ila wegi passpoti safi sanaa ila miguu yao loh!! kama tubulaiti na nyuma ni flati skurini........bora Mnyakyusa wangu
 

Napambana sana mzee wangu kuhakikisha matumizi hayapungui nyumbani.
 
Hai Kuna tajiri gani.....wewe nae ni mshamba
 
Miezi Sita ni muda mfupi sana kwenye mahusiano, ni mtizamo wangu binafsi Mungu akupe haja ya moyo wako.
 

yaan ujakosea ni kweli kabisa [emoji817]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…