Natafuta mwanamke mchaga

Natafuta mwanamke mchaga

Hahahahahaha lol! Chura zipo lakini Mkuu? Behaviourist

Weka CV yako hapa. Una maduka mangapi mjini! Nje ya maduka, unamiliki biashara gani nyingine! Unamiliki nyumba ngapi za kulala wageni (Lodge)! Una Kitimoto wangapi wa kufuga! Una magari mangapi, nk.

Binafsi ninamiliki Wachaga wawili hapa ambao ni wife material. Hivyo naweza kukuachia huyu mdogo. Ni Mmachame wa Hai. Mtoto anatokea familia ya kitajiri, hivyo hawezi kuoelewa na mchimba chumvi.
 
Natafuta mwanamke mchaga wa kuoa awe mmachame au mrombo itapendeza
Umri kuanzia miaka 22.awe tayari kupima na kuolewa ndani ya miezi sita
Kasoro ya wa changa ni kuua the host, wanapenda pesa kuliko Mme, ila wegi passpoti safi sanaa ila miguu yao loh!! kama tubulaiti na nyuma ni flati skurini........bora Mnyakyusa wangu
 
Ishi nao tu kwa akili mkuu. Na usisahu pia wakati mwingine kuwa nunda. Maana hawa wenzetu, vipaumbele vyao ni tofauti kabisa na vya kwetu.

All in all, Wanawake wa Kichaga hupenda kuolewa na wanaume Wapambanaji/Watafutaji. Ukiwa na Umwinyi mwingi, wanakuacha. Hawapendi kuolewa na wanaume wavivu kwenye utafutaji wa pesa.

Eti wewe ubaki nyumbani, halafu yeye akakutafutie, hilo sahau. Labda ukaoe Mnyakyusa.

Napambana sana mzee wangu kuhakikisha matumizi hayapungui nyumbani.
 
Weka CV yako hapa. Una maduka mangapi mjini! Nje ya maduka, unamiliki biashara gani nyingine! Unamiliki nyumba ngapi za kulala wageni (Lodge)! Una Kitimoto wangapi wa kufuga! Una magari mangapi, nk.

Binafsi ninamiliki Wachaga wawili hapa ambao ni wife material. Hivyo naweza kukuachia huyu mdogo. Ni Mmachame wa Hai. Mtoto anatokea familia ya kitajiri, hivyo hawezi kuoelewa na mchimba chumvi.
Hai Kuna tajiri gani.....wewe nae ni mshamba
 
Miezi Sita ni muda mfupi sana kwenye mahusiano, ni mtizamo wangu binafsi Mungu akupe haja ya moyo wako.
 
Ishi nao tu kwa akili mkuu. Na usisahu pia wakati mwingine kuwa nunda. Maana hawa wenzetu, vipaumbele vyao ni tofauti kabisa na vya kwetu.

All in all, Wanawake wa Kichaga hupenda kuolewa na wanaume Wapambanaji/Watafutaji. Ukiwa na Umwinyi mwingi, wanakuacha. Hawapendi kuolewa na wanaume wavivu kwenye utafutaji wa pesa.

Eti wewe ubaki nyumbani, halafu yeye akakutafutie, hilo sahau. Labda ukaoe Mnyakyusa.

yaan ujakosea ni kweli kabisa [emoji817]
 
Back
Top Bottom