Natafuta mwanamke Mtu Mzima kuanzia miaka 50 had 70

Natafuta mwanamke Mtu Mzima kuanzia miaka 50 had 70

presider

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,320
Reaction score
1,738
Ninatafuta Mwanamke Mtu mzima wa kuwa naye Rafiki na kushauriana mambo mbali mbali ya Maisha.

Mimi n kijana wa Miaka 40, Mrefu, Mweusi Mcheshi. Nipo Dar es salaam Tabata.

Nitafute kwa kwa 0693 296 809
 
Kijana tena au ndo kisa uzee mwisho Chalinze???
 
Nenda tinder..badoo..hi5..tangled. weka setting ya miaka unayohitaji..utawapata wamejaa tele.

Ikawe kheri kwako.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ninatafuta Mwanamke Mtu mzima wa kuwa naye Rafiki na kushauriana mambo mbali mbali ya Maisha.

Mimi n kijana wa Miaka 40, Mrefu, Mweusi Mcheshi. Nipo Dar es salaam Tabata.

Nitafute kwa kwa 0693 296 809
Wadada wanadanga, vijana hali kadhalika. Mwisho wa duniani umekaribia.
 
Una kasoro gani hapa duniani?
Ndito zote hizi wewe unatafuta mikangafu? Mitumba kwisha kazi?
 
Ninatafuta Mwanamke Mtu mzima wa kuwa naye Rafiki na kushauriana mambo mbali mbali ya Maisha.

Mimi n kijana wa Miaka 40, Mrefu, Mweusi Mcheshi. Nipo Dar es salaam Tabata.

Nitafute kwa kwa 0693 296 809
Oa acha upumbavu wako wewe utopolo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom