Mie nimefiwa na mume kwa ugonjwa wa kisasa. Ntafaa? Nimerithi maestate na malori ya kubeba mafuta.
Mimi ni kijana umri wangu ni 25 miaka ni mrefu naishi Dar es salaam natafuta mwanamke mtu mzima for relationship awe na umri usiopungua miaka 50,mwenyemuonekano safi na asiwe tegemezi.Nipo serious na hili na awe sio mke wa mtu.
Miaka 25 unatafuta m/mke mwenye umri sawa na mama ako au alimzid mama ako, shame on you! unaonaje ukaanza na mama ako c mkubwa pia?
mapenzi hayana umri wewe, kama kijana kajiamulia kula vilivyokwenda age, ni sawa tu. teh teh teh
mzabzab una maana hao wadogo hawataki kugegedwa?
wanataka sana ila drama nyingi