Natafuta mwanamke mtu mzima

Natafuta mwanamke mtu mzima

Mie nimefiwa na mume kwa ugonjwa wa kisasa. Ntafaa? Nimerithi maestate na malori ya kubeba mafuta.

I bet. Katoa sherti moja tu: "asiwe tegemezi, full stop". Huwezi jua ye ana nini. Nakutakia kila la heri.
 
Mimi ni kijana umri wangu ni 25 miaka ni mrefu naishi Dar es salaam natafuta mwanamke mtu mzima for relationship awe na umri usiopungua miaka 50,mwenyemuonekano safi na asiwe tegemezi.Nipo serious na hili na awe sio mke wa mtu.

Fanya kazi dogo, acha kuaibisha ma jentomen hapa
 
Ukiona issue nawe co muhusika piga kimya kama vp nipe namba za mama yako nianze nae
 
Back
Top Bottom