Natafuta mwanamke mwaminifu

Mimi ni kijana 30 yrs,mweusi,mrefu ni mtumishi wa umma,Nataka binti ambaye tukielewana vizuri tuoane awe mlefu,anayepatikana mkoa wa mbeya,mcha Mungu,mwaminifu na anayejali
Mkuu wewe hyo sifa ya uaminifu unayo??
 
Njoo Tanga.
Ila nawe uwe mwaminifu.
Maana, Mwanamke au Binti kutoka Tanga, ukimuoa na ukajiheshimu, ukamheshimu na ukampenda bila ku-feki utaishi maisha ya raha mstarehe.

Binafsi,nashukuru sana, mkoa wa Tanga kuwa Tanzania.
 
Njoo Tanga.
Ila nawe uwe mwaminifu.
Maana, Mwanamke au Binti kutoka Tanga, ukimuoa na ukajiheshimu, ukamheshimu na ukampenda bila ku-feki utaishi maisha ya raha mstarehe.

Binafsi,nashukuru sana, mkoa wa Tanga kuwa Tanzania.
Poa ni pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…