Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe hyo sifa ya uaminifu unayo??Mimi ni kijana 30 yrs,mweusi,mrefu ni mtumishi wa umma,Nataka binti ambaye tukielewana vizuri tuoane awe mlefu,anayepatikana mkoa wa mbeya,mcha Mungu,mwaminifu na anayejali
Ana na wew, je wew ni mwaminifu, siyo unatafuta mwaminifu wakati wew ni noomaMimi ni kijana 30 yrs,mweusi,mrefu ni mtumishi wa umma,Nataka binti ambaye tukielewana vizuri tuoane awe mlefu,anayepatikana mkoa wa mbeya,mcha Mungu,mwaminifu na anayejali
Mwaminifu sana,sijaplan kufanya ujingaujingaAna na wew, je wew ni mwaminifu, siyo unatafuta mwaminifu wakati wew ni nooma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu anawaonaAisee kuna watu wana majibu!!!!
Njoo pm nikupe dada angu, hila nahitaji uoe kweliMwaminifu sana,sijaplan kufanya ujingaujinga
KabisaMungu anawaona
Basi karibu tuianze safari,ila sijaajiriwa[emoji4]
Si unaacha kujaladia tu
Wewe nenda mkoa wa Tanga.Poa ni pm