Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa sielewi inakuwaje mwanaume anaweka tangazo la kutafuta mwenza(mwanamke) na hajasema anahitaji maoni ila kurupuuuu unakuta wanaume wanatoa maoni na kejeli. Au wengine ni wenzetu nini[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
mods wangelishaondoa hili jukwaa endapo wangewaza kama wewemkuu unaishi Pluto nini, hapo mtaani hawapo ?
🤣 🤣 ni kweli
Hahaaa, acha woga mkuu, don't judge a book by it's cover, huyo ndyo wife material sasa.
mdada sina woga!Hahaaa, acha woga mkuu, don't judge a book by it's cover, huyo ndyo wife material sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
mdada sina woga!Hahaaa, acha woga mkuu, don't judge a book by it's cover, huyo ndyo wife material sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni me au ke?
Yeyote aliyopo kwenye uzi wa kutafuta mchumba maana yake na yeye anatafuta mchumba![emoji12][emoji12][emoji12]
Wewe ni me au ke?
Duh, kwahiyo nawewe unatafuta eeh, yule mshaachana?, hakua na chura?[emoji3][emoji3] masikio yakoYeyote aliyopo kwenye uzi wa kutafuta mchumba maana yake na yeye anatafuta mchumba![emoji12][emoji12][emoji12]
Mimi ni huyo hapo nipo na wa kwangu![emoji12][emoji12][emoji12]Duh, kwahiyo nawewe unatafuta eeh, yule mshaachana?, hakua na chura?[emoji3][emoji3] masikio yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaa, Haya bana enjoy na wifi kubwa ila hicho ni nini kama kinataka ukifungulie kitoke[emoji848][emoji848]Mimi ni huyo hapo nipo na wa kwangu![emoji12][emoji12][emoji12] View attachment 1369409