Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulioishia form 4 hatuna vigezo 😞Awe na sifa zifuatazo
Sifa zangu
- Awe na miaka kati ya 25 mpaka 30
- Awe Mkristo
- Awe tayari kupima hiv
- Awe anaishi dar es salaam kimara na maeneo ya karibu itakua vizuri
- Elimu bachelor ya kozi yeyote ile
- Nina miaka 33
- Kazi; duka kariakoo
- Sina mtoto
Mkuu ongezea form for awe alipata div 1 form six div 2 chuo GPA 3.5 Kuendelea utanishukur badaeAwe na sifa zifuatazo
Sifa zangu
- Awe na miaka kati ya 25 mpaka 30
- Awe Mkristo
- Awe tayari kupima hiv
- Awe anaishi dar es salaam kimara na maeneo ya karibu itakua vizuri
- Elimu bachelor ya kozi yeyote ile
- Nina miaka 33
- Kazi; duka kariakoo
- Sina mtoto
Kuna Dada mzuri sana atakufaa, anaitwa MamaSamia2025Awe na sifa zifuatazo
Sifa zangu
- Awe na miaka kati ya 25 mpaka 30
- Awe Mkristo
- Awe tayari kupima hiv
- Awe anaishi dar es salaam kimara na maeneo ya karibu itakua vizuri
- Elimu bachelor ya kozi yeyote ile
- Nina miaka 33
- Kazi; duka kariakoo
- Sina mtoto
wewe si unawatoto watatu..!Tulioishia form 4 hatuna vigezo 😞
Vigezo vinafaa kabisawewe si unawatoto watatu..!
Sawa wanakuja mkuuWalioko serious
😂 aiseeVigezo vinafaa kabisa
Aseee hapo atakuwa ametisha kinyamaMkuu ongezea form for awe alipata div 1 form six div 2 chuo GPA 3.5 Kuendelea utanishukur badae
Kutokujiamini ni tatizo la watanzania wengiAseee hapo atakuwa ametisha kinyama
AOngeze vigezo ndyo dawa Yao
NawasubiriaSawa wanakuja mkuu
NdioWe umepima ukimwi
Ikaja -ve au +veNdio
NegativeIkaja -ve au +ve