Inawezekana nikagonga 29 bila kupata mtu wa kunionea huruma?🤔Ngoja 29 igonge juu ya alama
Mkuu, Bado hakijaaribika kitu, huo ni mtego wa kimkakatiHii usingeiweka ili usidanganywe, ingekuwa siri yako ya kufanyia kazi wakati wa usaili.
Atakwambia hajawahi kuzaa na anaweza kuweka seal kabisa, kumbe ana wawili
Ukiwa na materials za ujenzi utampata tuNina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni
Nipo mzabzab hapa usijaliInawezekana nikagonga 29 bila kupata mtu wa kunionea huruma?🤔
Vyote viwiliUnatafuta mwenza au msimamizi wa biashara aliye siriazi?
Wewe hapana! Trump kasitisha Arv'sNipo mzabzab hapa usijali
Boya kweliMcheki huyu
ChoiceVariable
Sio 29 tu usishangae ukafika fote(40 )Inawezekana nikagonga 29 bila kupata mtu wa kunionea huruma?🤔
Subiri nije pm yako na id mpya nichangamkie fursa kabla jua halijazama.Sio 29 tu usishangae ukafika fote(40 )
Karibu, ila utambue njia ya muongo ni fupi nitakukamata/nitakudukua TU!Subiri nije pm yako na id mpya nichangamkie fursa kabla jua halijazama.
Unataka asiye na mtoto, wewe mwenyewe watoto huna?Karibu, ila utambue njia ya muongo ni fupi nitakukamata/nitakudukua TU!
Nina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni