Thomas Brown
JF-Expert Member
- Jan 25, 2025
- 344
- 856
Siku hizi hakuna mapenzi ya kweli kwa binadamu. Mpenzi wa kweli ni pesa yako tu baas.We nae Kama kachawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi hakuna mapenzi ya kweli kwa binadamu. Mpenzi wa kweli ni pesa yako tu baas.We nae Kama kachawi
Ushapata??Nina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni
Njoo pmUshapata??
Nije tuunganishe vidude jamanNjoo pm
Si ndioNije tuunganishe vidude jaman
Mm utaniweza jamanSi ndio
Nitakuweza tuMm utaniweza jaman
Huyuuu si ni miongoni mwa kataa ndoa huyuuuNina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni

Kama mabeto Kwa Aziz ki jamaa alikuja gundua baadae kabisaHii usingeiweka ili usidanganywe, ingekuwa siri yako ya kufanyia kazi wakati wa usaili.
Atakwambia hajawahi kuzaa na anaweza kuweka seal kabisa, kumbe ana wawili
Mimi nlikuwaga Sina upande....nipo kotekote , najiribu huku ikibuma fasta nahamia upande mwingine sawa?Huyuuu si ni miongoni mwa kataa ndoa huyuuu![]()
Yule jamaa amefungwa ufahamu kama Bi mkubwa wake alivyosema, au Kuna mdau kule jukwaa la sports anadai huenda hamisa kamuunganisha Aziz na ule mtandao mixx by yasKama mabeto Kwa Aziz ki jamaa alikuja gundua baadae kabisa
Kila la kheriNina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni
SawaKila la kheri
😂😂😂@mzabzab njoo nisimulieAkikusimulia utacheka 🤣🤣🤣🤣
Nipe kwanza kiwanja changuuuu😂😂😂@mzabzab njoo nisimulie
Njoo nipo nikupeleke site 😂😂Nipe kwanza kiwanja changuuuu
Naja...huko huko twapiga storyNjoo nipo nikupeleke site 😂😂
Jenga kwanza maisha yako ndo umtafute mkeNina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30.
Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni