Natafuta mwanamke wa kunizalia

Njoooo. Kama si laana nini. Mwishoe tutajua tu. Kwa hiyo,umebadili gia yule wa kukuzalia humtaki tena unataka unigegede mimi? Njooo. Kazi ya kufukua mitalo ipo

Sasa kama unakasirika mm kutafuta wa kumzalisha ! si inamaana unataka ww hyo nafasi
 
na vinaambukiza UKIMWI kama havina akili nzuri
nashukuru nilisoma UD kipindi nilikuwa domozege
 
😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣. Run for your life 🏃🏃🏃
nilienda Hall 2 nakumbuka, kulikuwa na besidei
basi bana unapanda ngazi kwenye corridor, unakutana na totoz zinatoka kuoga yupo kihasara hasara alaf yeye hana habari
daaaah, Mungu kaniepusha na balaa aisee, udomozege ulinisaidia sana
mpaka nafika eneo la tukio, nimedisa mbaya

huko nako kubambiana, full kulowesha boksa
 

[emoji23][emoji23][emoji3]
 
Acha ujinga una miaka mingapi????mwanamke wa kuzaa naye yupo sehemu yoyote kama mwanaume ndio inabidi ujiulize nani unampa mimba lakin kuomba mwanamke akuzalie in social media its simp life styles just go out tongoza totoz zitakuelewa nafikir umenipata mjuba
 
Mi kuna wanawake kama 9 hivi nishakutana nao wako financial stable hawahitaji ndoa wanahitaji watoto tu… sasa we kudhani kila mtu ana ndoto ya kuolewa ni makosa makubwa sana unaifanyia akili yako
Sasa katika hao wanawake 9 uliokwisha kutana nao na wenye mawazo na malengo kama yako,si ndio ungempata mmoja wao ili mtimize hilo lengo lenu badala ya kuja kutafuta huku JF?
 

Nimekupataa
 
Milioni 30 unazo???
Maana mimba sio kitu Cha kuchezea Kama kishundu au mjegeje
 
Kila la kerih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…