Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unatoa vigezo vya mke!?
Kwa hiyo huyo mtoto ni wa Siri?
Mgumba huyo shauri zako
Milioni 30 unazo???
Maana mimba sio kitu Cha kuchezea Kama kishundu au mjegeje
Eeeh Haya utapata lkn maana Dunia Ina mengindio had muda ufike
Ilaaa bongo ukifa na stress umejitakia 😂😂😂😂Mwanamke awe na umri kuanzia miaka 20 na kuendelea. Asiwe na akili ya kitoto awe n muelewa ambaye tunaweza panga jambo akaelewa na akafuata.
Makubaliano
- Nitatunza mtoto
- Nitahudumia
- Mtoto hata ruhusiwa kubambikiziwa baba mwingine
- Hakuna kuoana mi na mtu wangu
- Unaruhusiwa kuendelea na maisha yako baada ya hapo
Vigezo vingine
- Asiwe mke wa mtu
- Awe single mother au msichana sawa tu
- Aweze kutunza siri
Na kwann umzakishe mtu ambae huwezi kumuoa?Kwan ukizalishwa huolewi
Kwann usizae nao hao basi mkuu?Mi kuna wanawake kama 9 hivi nishakutana nao wako financial stable hawahitaji ndoa wanahitaji watoto tu… sasa we kudhani kila mtu ana ndoto ya kuolewa ni makosa makubwa sana unaifanyia akili yako
U can't be serious???Mke wangu hawezi zaa saizi namm nataka mtoto kwa haraka iwezekanavyo
House girl siyo watu?mmh hapo bora nitafute house girl sasa