Natafuta mwanamke wa kunizalia

Natafuta mwanamke wa kunizalia

Mwanamke awe na umri kuanzia miaka 20 na kuendelea. Asiwe na akili ya kitoto awe n muelewa ambaye tunaweza panga jambo akaelewa na akafuata.

Makubaliano
  • Nitatunza mtoto
  • Nitahudumia
  • Mtoto hata ruhusiwa kubambikiziwa baba mwingine
  • Hakuna kuoana mi na mtu wangu
  • Unaruhusiwa kuendelea na maisha yako baada ya hapo

Vigezo vingine
  • Asiwe mke wa mtu
  • Awe single mother au msichana sawa tu
  • Aweze kutunza siri
Ilaaa bongo ukifa na stress umejitakia 😂😂😂😂
 
Mi kuna wanawake kama 9 hivi nishakutana nao wako financial stable hawahitaji ndoa wanahitaji watoto tu… sasa we kudhani kila mtu ana ndoto ya kuolewa ni makosa makubwa sana unaifanyia akili yako
Kwann usizae nao hao basi mkuu?
Mpk uje uhangaike huku?
 
Miaka 20 mkuu ndo hivi vinavaa viatu vyenye manyoya ya masufi halafu ndonhivi vinaiiona vizuri vyenyewe tu dunia nzima na visumbufu balaa unakuta kana wanaume 15 kinafanya kuzungukia tu
 
Back
Top Bottom