Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 ni mzaliwa wa Moshi ila kwa sasa niko Dodoma kikazi natafuta mwanamke ambaye yuko tayari kuishi na mimi maisha yoyote yale. VIGEZO vyangu nikuwa awe na umri kuanzia miaka 23 had 27 awe mkristo na awe mcha MUNGU. Kwa yeyote aliye tayari na aliye serious ani pm plz. Swal lolte litajibiwa.