Natafuta mwanamke wa kuoa


kuna mtu alisema humu ndani watu wanaishi maisha ya kwenye tamthilia.
Naanza kuamini sasa.
 

Please usiache kurudi kutupa ushuhuda jamani...tunatamani kusikia matokeo! Nakutakia kila la heri!
 

Ninae niece wangu mwenye sifa zote hizo lakini ni mweusi tena weusi wake ni ule wa mpingo sasa inakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…