Haaaaa ndo huyu alosema mpenzi wake n mlokole anafanya sana maombiUngeweka kabisa wazi kuwa wewe ni member wa freemason ili akija ajue kabisa, sio upate shida kama kwa yule mwingine!
Imagine mtu anakataa mpenzi alie na hofu ya mungu anataka mwenye mambo ya kishetani. Hii dunia ya ajabu sana!Haaaaa ndo huyu alosema mpenzi wake n mlokole anafanya sana maombi
Haaaaaa asilimia 80 ya wanaume tuliokwenye mahusiano hatujui tunachotaka ukimpata mwenye chura unataka mwenye rangi nzur ukimpata mwenye rangi nzur unataka mwenye jichoImagine mtu anakataa mpenzi alie na hofu ya mungu anataka mwenye mambo ya kishetani. Hii dunia ya ajabu sana!
Hapo ndo mnapokosea, halafu mnakuja kulalamika baadae kumbe wenyewe mmebugi stepHaaaaaa asilimia 80 ya wanaume tuliokwenye mahusiano hatujui tunachotaka ukimpata mwenye chura unataka mwenye rangi nzur ukimpata mwenye rangi nzur unataka mwenye jicho
Tunakosea kitu kingine hiki hapa ukimpenda mwanamke si lazima n ye akupende sana sema anatakiwa kukutii kumpenda ni jukumu lako kama mwanaumeHapo ndo mnapokosea, halafu mnakuja kulalamika baadae kumbe wenyewe mmebugi step
Bora wewe umejua. Kama bado hujaoa make sure hukosei!Tunakosea kitu kingine hiki hapa ukimpenda mwanamke si lazima n ye akupende sana sema anatakiwa kukutii kumpenda ni jukumu lako kama mwanaume
Me bado cjaoa ila nimejifunza kuna wanawake au wanaume inatakiwa waishie moyoni tu ila si wa kufanya nao maishaBora wewe umejua. Kama bado hujaoa make sure hukosei!
Ni kweli.Me bado cjaoa ila nimejifunza kuna wanawake au wanaume inatakiwa waishie moyoni tu ila si wa kufanya nao maisha
Haya mambo hayaeleweki hasa hii karne yetu akili itumike kwanza kabla kuupa moyo kazi za kijingaNi kweli.