Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

Brother samahani bhana tafuta mke nilikuwa nakutikisa tu ili hata dada zetu wakija wajue watakuwa na mtu wa aina gani.

Mimi mwenyewe mke wangu nilimpata Badoo na tukafunga ndoa mwaka 2013. Hivyo nakutakia maisha mazuri ya mahusiano baada ya kumpata yule atakaye kuwa sahihi kwako.

Kila la kheri na utafutaji mwema.
Kweli wewe mbao za......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom